Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Msikubali mtandikeni makofi mungalumkuu haya maneno nimeongea sana mkuu. huyu mugalu si wakuchezea timu kama simba. luis na chama walikuwa wakifunga na timu kutoka na ushindi mashabiki walisahau makosa ya huyu jamaa yote. sasa msimu huu ndio tutajua kama mugalu ni mpuuzi. huyu jamaa ndio ameharibu mfumo wote wa timu leo. huwezi pata nafasi 4 za wazi alafu usigongeshe hata mwamba. Onyango alikuwa striker mzuri kuliko mugalu. ila time will tell muache kocha aendelee kumpanga
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]#[emoji617]nation
Kuna siku mpira unakataa kwa boko, ila Mugalu hapana.Haha eti chumba [emoji23][emoji23] Kuna siku mpira una kataa
Samahani mkuu.sitaludia tenaAchana na mm fuata mambo yak mpuuz
Utopolo vipiKikundi za mudi
Pumbavu kabisa,kweli u mbumbumbu ni kilema,sisi tunajiandaa na mchezo wao wanashangilia mabasi kama vile hawajahi kuona magari. Ingekuwa vema yale mabasi 3 moja lingecheza beki,lingine kiungo na lingine pale kwa mugalu [emoji16]
[emoji23][emoji23]View attachment 1956546
Utopolo vipi
Habari yako kolo
Uzi wa simba lakin utopolo wako tu
Masaa machache kinanuka huko Uswanani.wanangu tupo tayari kwa Waswana?
Game itaoneshwa Azam?Masaa machache kinanuka huko Uswanani.
Azam spot 2 HDGame itaoneshwa Azam?