Pumbavu kabisa,kweli u mbumbumbu ni kilema,sisi tunajiandaa na mchezo wao wanashangilia mabasi kama vile hawajahi kuona magari. Ingekuwa vema yale mabasi 3 moja lingecheza beki,lingine kiungo na lingine pale kwa mugalu [emoji16]
 
Msikubali mtandikeni makofi mungalu
 
Pumbavu kabisa,kweli u mbumbumbu ni kilema,sisi tunajiandaa na mchezo wao wanashangilia mabasi kama vile hawajahi kuona magari. Ingekuwa vema yale mabasi 3 moja lingecheza beki,lingine kiungo na lingine pale kwa mugalu [emoji16]

Leo umefurahi na wala huna habari na TFF wala Karia, lakini itakapofika muda wa Simba kufurahi usije ukaanza kulialia na TFF na Karia.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…