Mkushi w jani
JF-Expert Member
- Oct 2, 2021
- 1,798
- 1,570
Wawe busy na uzi wao na sio Yang
Uzi wa kishamba sana huu, unaweza kukuta cku nzima imepita hakuna comment hata moja.Wawe busy na uzi wao na sio Yanga.
Uzi wa kindezi sn huu, unaweza kukaa hata mwezi bila comment. Nashauri huu uzi ufutwe, wa Yanga unatosha cz mashabiki wote tunakutana kule, huu uzi unasumbua server za JF tu hauna maana.Watu wa hii timu majeuri sanaaaaaa,yaani pira lote la jana hakuna hata comment humu toka tar 6?
Sent from my PBBM00 using JamiiForums mobile app
Nakazia ufutwe tu. Hahahaaaaa.Uzi wa kindezi sn huu, unaweza kukaa hata mwezi bila comment. Nashauri huu uzi ufutwe, wa Yanga unatosha cz mashabiki wote tunakutana kule, huu uzi unasumbua server za JF tu hauna maana.
Naona umeibukia huku baada ya kupigwa stop kule utopoloni dada yangu,toa 29k hiyo ndugu uwe free kuchatWako busy kuishangilia Azam. Huo muda wataupata wapi. Teh teh.
Huu nao ni uzi basi Kaka. 🤣🤣🤣🤣Naona umeibukia huku baada ya kupigwa stop kule utopoloni dada yangu,toa 29k hiyo ndugu uwe free kuchat
Sent from my PBBM00 using JamiiForums mobile app
Inasababishwa na nyuzi zinazoanzishwa kila Simba wanapocheza.Uzi mmeususa mnajazana kwenye uzi wa united tu
Uzi wenu umejaa malalamiko utaacha vipi kuwa na pages nyingi?Huu uzi ni wa kishamba sana, huwa wanasubiri timu ishinde ndiyo waje humu kutekenya vidole, ndiyo maana hata idadi ya pages za huu uzi zimeachwa mbali mno na zile za uzi wa Yanga.
Yani uzi wa Yanga ni kama ule wa Manchester united, fans wote badala wapambane na nyuzi za timu zao wako bize na uzi wetu.
Hizi hangover za kuvuliwa ubingwa mnakuja kuzimalizia hukuNakazia ufutwe tu. Hahahaaaaa.
Mimi mzima aisee.Hahahaaa. Mzima kabisa Mtani, Afya yako?
Hivi Mtani huu uzi mumeupangia nini lakini? [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Uuwii! umefanya nimecheka lol.Hizi hangover za kuvuliwa ubingwa mnakuja kuzimalizia huku
Huu uzi hauna malalamiko ndiyo maana uko tuliUuwii! umefanya nimecheka lol.
Uzi unadoda huu Mtani.
Kumbe. Haya karibu kule kwenye malalamiko basi tusaidiane kupeana namna ya kuyatatua. 😉Huu uzi hauna malalamiko ndiyo maana uko tuli
Yale manyuzi ya ovyo ovyo ya simba ni heri admn akawa anayatupia humu watu wadiscussInasababishwa na nyuzi zinazoanzishwa kila Simba wanapocheza.
Kingine kwenye social media zingine wako strong sana ndiyo maana interaction hapa ni ndogo.
Siku zote Penalti hazina mwenyewe Mtani.Mimi mzima aisee.
Return of champion ( mkamsafirisha hadi MAYELE lakini wapiiiii [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]