Yale manyuzi ya ovyo ovyo ya simba ni heri admn akawa anayatupia humu watu wadiscuss


We simba ikicheza mtu anaanzisha uzi na kutoa update wakati alikua na uwezo wa kufanya ili jambo humu ndani....
Huwa nashangaa na mimi kwa nini kwa timu za Ulaya huwa updates zinawekwaga kwenye uzi husika iweje sisi tushindwe.

Nadhani inabidi hao waanzisha uzi kubadilika.
 
Yale manyuzi ya ovyo ovyo ya simba ni heri admn akawa anayatupia humu watu wadiscuss


We simba ikicheza mtu anaanzisha uzi na kutoa update wakati alikua na uwezo wa kufanya ili jambo humu ndani....
Yes kila tukio la Simba huwa linaanzishiwa uzi wake wakati ni kitu cha kupost huku tu
 
Hata msimu uliopita mlisema hivi hivi .

Yanga isipopata ubingwa mwaka huu niulizwe mimi (GSM) [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Hiyo misemo achana nayo Mtani.

Bingwa wa NBC 2021/2022 ni Timu ya Wananchi kubali ukatae.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…