Ila unadimikaga najua kufungwa kwetu jana ndo kumekuibua leo. πMimi mzima aisee.
Return of champion ( mkamsafirisha hadi MAYELE lakini wapiiiii [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Si mngemaliza mechi mapema. Hii ni yanga au UTOPOLO [emoji23][emoji23][emoji23]Siku zote Penalti hazina mwenyewe Mtani.
Huwa nashangaa na mimi kwa nini kwa timu za Ulaya huwa updates zinawekwaga kwenye uzi husika iweje sisi tushindwe.Yale manyuzi ya ovyo ovyo ya simba ni heri admn akawa anayatupia humu watu wadiscuss
We simba ikicheza mtu anaanzisha uzi na kutoa update wakati alikua na uwezo wa kufanya ili jambo humu ndani....
Ndo ilishashindikana eti. Ila wacha tugange yajayo.Si mngemaliza mechi mapema. Hii ni yanga au UTOPOLO [emoji23][emoji23][emoji23]
Yes kila tukio la Simba huwa linaanzishiwa uzi wake wakati ni kitu cha kupost huku tuYale manyuzi ya ovyo ovyo ya simba ni heri admn akawa anayatupia humu watu wadiscuss
We simba ikicheza mtu anaanzisha uzi na kutoa update wakati alikua na uwezo wa kufanya ili jambo humu ndani....
Tutachukua makombe yote + mabonzaNdo ilishashindikana eti. Ila wacha tugange yajayo.
Bonanza tumewaachia.
Hapo kwenye bonanza sawa sawa kabisa Mtani ila huko pengine hapana. πTutachukua makombe yote + mabonza
Hata msimu uliopita mlisema hivi hivi .Hapo kwenye bonanza sawa sawa kabisa Mtani ila huko pengine hapana. [emoji41]
Hawa tayri washaanza kutafta mchawi kilichobaki ni draw za nbc watoke pale juuHata msimu uliopita mlisema hivi hivi .
Yanga isipopata ubingwa mwaka huu niulizwe mimi (GSM) [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Hiyo misemo achana nayo Mtani.Hata msimu uliopita mlisema hivi hivi .
Yanga isipopata ubingwa mwaka huu niulizwe mimi (GSM) [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Kwamjibu wako au GSM ?Hiyo misemo achana nayo Mtani.
Bingwa wa NBC 2021/2022 ni Timu ya Wananchi kubali ukatae.
Huu wa kwangu mie Mwananchi kindakindaki. πKwamjibu wako au GSM ?
Kwahiyo GSM sio lolote?Huu wa kwangu mie Mwananchi kindakindaki. [emoji126]
Aah! Mtani wacha kunichonganisha bana.Kwahiyo GSM sio lolote?
Mwenyewe yupo si JOHORA golikipa la futiboli[emoji23][emoji23][emoji23]Siku zote Penalti hazina mwenyewe Mtani.
Watu wanataka umaarufu wewe,Huwa nashangaa na mimi kwa nini kwa timu za Ulaya huwa updates zinawekwaga kwenye uzi husika iweje sisi tushindwe.
Nadhani inabidi hao waanzisha uzi kubadilika.
Hili kombe ndio mlitamba nalo sana na yule injinia wa mchongo wa kisomali alisema aulizwe mkilikosaNdo ilishashindikana eti. Ila wacha tugange yajayo.
Bonanza tumewaachia.
Watu wanataka umaarufuYes kila tukio la Simba huwa linaanzishiwa uzi wake wakati ni kitu cha kupost huku tu
Hahahaaa. Hebu huko.Mwenyewe yupo si JOHORA golikipa la futiboli[emoji23][emoji23][emoji23]
Sent from my PBBM00 using JamiiForums mobile app