Van pebles
JF-Expert Member
- Oct 23, 2018
- 2,861
- 5,305
Mchezaji wa Mbeya Kwanza hakuucheza mpira bali mpira ulimgonga.Kabla ya hapo kuna mchezaji wa mbeya Kwanza aliugusa
Kaangalie video tena ile inaonesha nyuma kwenye goli kisha utaona body language ya mguu wa kushoto wa james mwasote ulitwist ili kuuzuia mpira na hicho ndo kiliua offside.Mchezaji wa Mbeya Kwanza hakuucheza mpira bali mpira ulimgonga.
Ile kwa hali ya kawaida ilikuwa deflection. Hivyo haiwezi kubadili ukweli kwamba refa kuwapa lile goli. Alitakiwa awaachie na Mbeya kwanza lile la kwao ili iwe fair play!😁😁😁😁Kabla ya hapo kuna mchezaji wa mbeya Kwanza aliugusa
Hiki kinaitwa Kiherehere au Kwa Kiswahili cha ndaaaani sana Kinaitwa 'Kisebusebu'....!Utajiri Wa kurithi una shida sana;
1. Matajiri Wa hivi huwa wanataka kuabudiwa sana na masikini
2. Huwa ni mbumbumbu hata hesabu za kujumlisha ni shida!
Rejea 20+25= 85!
Kila la heri ASEC MIMOSAS!
Wivu wa kurithi ni tatizo kubwa kuliko utajiri wa kurithi.Utajiri Wa kurithi una shida sana;
1. Matajiri Wa hivi huwa wanataka kuabudiwa sana na masikini
2. Huwa ni mbumbumbu hata hesabu za kujumlisha ni shida!
Rejea 20+25= 85!
Kila la heri ASEC MIMOSAS!
Nguvu moja
[emoji322][emoji323][emoji323][emoji322]