Da Gladiator
JF-Expert Member
- Aug 3, 2020
- 1,641
- 2,646
Msimamo wa Kundi D la mashindano ya Kombe la Shirikisho Afrika baada ya timu zote kucheza michezo miwili. #CAFCLWanyama mpook ?!?!?!?!?!?!?!.
Morrison akitokea benchi huwa bora zaidiMechi ijayo Morrison aanze na Mhilu awe benchi
Pia Mzamiru huwa ana umuhimu mkubwa sana kwenye game za ugenini ila tunamchukuliaga poa