Simba Sports Club (Wekundu wa Msimbazi) | Special thread
Pia Mzamiru huwa ana umuhimu mkubwa sana kwenye game za ugenini ila tunamchukuliaga poa

Sana , Mzamiru ana ile driving force inasaidia kupandisha timu. Lakini pia anaingia sana kwenye uvungu wa timu pinzani na kuharibu move zao.
 
.

A5FBBDBA-4D61-4CC1-BCA4-553E3E3220D9.jpeg


201F0805-0DCA-40C6-B9BF-A3D2F79445F0.jpeg
 
Kati ya jembe amabalo kocha anazingua kulitumia ni Kennedy.....alipoingia aliokoa na kutibua mipango ming sana...........!!!
Nafikiri TFF ingeweka sheria ya wachezaji wa ndan kutumika zaid il tuweze kuwa na kikos cha Taifa active......!!
 
Back
Top Bottom