Trick mirik
JF-Expert Member
- May 5, 2019
- 555
- 1,290
Aatafuta kukazwa huyu. Ngoja kiherehere kikusosomoleUtajiri Wa kurithi una shida sana;
1. Matajiri Wa hivi huwa wanataka kuabudiwa sana na masikini
2. Huwa ni mbumbumbu hata hesabu za kujumlisha ni shida!
Rejea 20+25= 85!
Kila la heri ASEC MIMOSAS!
SAA 1 usiku.Game ya mimosas na SSC itakuwa saa ngapi leo?
Wadau, nitakuwa mbali na TV. Naweza kupata msaada wa App au Link ya kuonyesha huo mpambano? Najua wana JF hawashindwi kitu! Natanguliza shukraaan!Game ya mimosas na SSC itakuwa saa ngapi leo?