Simba Sports Club (Wekundu wa Msimbazi) | Special thread
20220304_213715.jpg
 
Leo ni leo Benjamin mkapa
Kwa wale wenzangu wa DSTV chanel 225 Football wataonyesha
 
STAR TIMES CHANNEL NAMBA 197 KWA LUGHA YA KISWAHILI

LIVE LEO; SIMBA vs RS BERKANE

SAA; 10:00 JIONI
 
Wanasimba kuna mambo mazuri yanakuja...haya aliyasema #BossMO kwenye instaLive yake!...huenda msimu ujao tukawa na safu bora ya ushambuliaje.

20220313_122556.jpg


Ikumbukwe siku kadhaa zilizopita...moses phiri alituma picha kwenye insta page yake akiwa amevaa tshirt ya mnyama.

Screenshot_20220313-113831.jpg
 
Linapofika suala la Kimataifa hakuna timu kama Simba SC Afrika Mashariki na Kati.

Simba SC Nguvu Moja..Taifa Kubwa
 
Utajiri Wa kurithi una shida sana;
1. Matajiri Wa hivi huwa wanataka kuabudiwa sana na masikini
2. Huwa ni mbumbumbu hata hesabu za kujumlisha ni shida!

Rejea 20+25= 85!

Kila la heri ASEC MIMOSAS!
Aatafuta kukazwa huyu. Ngoja kiherehere kikusosomole
 
Wachezaji wetu wlaioitwa kwenye kikosi cha Taifa Stars kitakachoingia kambini kwa
mechi za kirafiki kwenye kalenda ya FIFA.
▪️ Aishi Manula
▪️ Israel Mwenda
▪️ Shomari Kapombe
▪️ Mohamed Hussein
▪️ Mzamiru Yassin
▪️ Jonas Mkude
▪️ Kibu Denis
#NguvuMoja https://t.co/3uJ9pmHNYT
 
Back
Top Bottom