Hesgoal.comWadau, nitakuwa mbali na TV. Naweza kupata msaada wa App au Link ya kuonyesha huo mpambano? Najua wana JF hawashindwi kitu! Natanguliza shukraaan!
Msemaji wa simba amesema hamna mtu aliyesimamishwa kaziKocha msaidizi wa Simba Queens asimamishwa kazi baada ya uongozi kudai utovu wa nidhamu na moja wa sababu hizo ni Interview aliyehojiwa TBC na kudai wapo wachezaji wa Simba Queens wanalipwa Tsh 50,000 kwa mwezi
Source Issa Mbuzi
Msemaji wa simba amesema hamna mtu aliyesimamishwa kazi