Kocha msaidizi wa Simba Queens asimamishwa kazi baada ya uongozi kudai utovu wa nidhamu na moja wa sababu hizo ni Interview aliyehojiwa TBC na kudai wapo wachezaji wa Simba Queens wanalipwa Tsh 50,000 kwa mwezi

Source Issa Mbuzi
 
Kocha msaidizi wa Simba Queens asimamishwa kazi baada ya uongozi kudai utovu wa nidhamu na moja wa sababu hizo ni Interview aliyehojiwa TBC na kudai wapo wachezaji wa Simba Queens wanalipwa Tsh 50,000 kwa mwezi

Source Issa Mbuzi
Msemaji wa simba amesema hamna mtu aliyesimamishwa kazi
 
Nguvu moja [emoji1477]
 

Attachments

  • AE33B447-B4E7-4751-9D6E-82B14456723C.jpg
    91.2 KB · Views: 49
Klabu ya Simba SC kupitia kwa Mtendaji mkuu, Barbara Gonzalenz imethibitisha kuwa nyota Bernard Morrison haruhusiwi kuingia Afrika Kusini lakini hata hivyo amesema shughuli yote dhidi ya Orlando Pirates wataimaliza kwa Mkapa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…