Uchawi wetu tumeumbuka mchana kweupe kule Sauzi.[emoji276]
 
Ondoeni Wasiwasi Kabisa Kuhusu Sare Dhidi Ya Azam Naomba Nichukue Nafasi Hii Kuwahakikishia Kuwa Simba Tunaenda Kuwa Mabingwa Wa NBC Premier League 2021/2022 [emoji4]
 
Asante sana Mwamedi kwa kuwekeza kwa Marefa na baadhi ya wachezaji pinzani mdio maana tunashinda kwa njia mbalimbali ikiwemo ya matuta, ufanye tena kule kwa Madiba
Kwa Madiba tuliambiwa tuongeze na Uchawi utatuvusha!
 
Asante sana CEO wetu kwa kuwekeza kwenye timu ya wanawake kuliko ya wanaume na matokeo yake tunayaona, timu yetu ya wanawake inanya vizuri sababu ni awamu ya .....,.

Timu ya wanaume tupa kule!
 
Simba timu ya kijinga kabisa.Mbwembwe na kujiaminisha kwingiiiiiii halafu hamna kitu.

Hovyo kabisaaa
 
hatuna Kocha,Pablo ni Choko kama Machoko wengine,na hatuwezi kwenda popote kwa kutegemea MUGALU,KIBU,BOCCO au KAGERE,wote hawa ni MACHOKO waondoke
 
Simba timu ya kijinga kabisa.Mbwembwe na kujiaminisha kwingiiiiiii halafu hamna kitu.

Hovyo kabisaaa
 
CEO wetu mara ya mwisho kuposti kwenye mitandao ya kijamii ni tarehe 24.04.2022.

Huyu kweli anafaha kuiongoza klabu yetu ya Simba?

Timu ikifanya vibaya anakaa kimya, timu ikianza kushinda mechi ndio anajitokeza kuandika kwenye hiyo mitandao ya kijamii.

Anashindwa kutupa matumaini sisi mashabiki pamoja na wachezaji pale inapotokea timu imefanya vibaya.
 

Attachments

  • yangasc~reel~CeGz2L0qr8R~1.mp4
    6.7 MB
Nyie Pumzi Ya Moto Mwizi Kawaacha Kwenye Mataa?! Eeeh! Nyiee!.....Hivi Nyie Mbwa Mnalala Mpka Saiz Mna Raha Gani Na Mshaibiwa Huku [emoji1787]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…