Mzee Wa Kazi Chafu
JF-Expert Member
- Jan 24, 2022
- 2,245
- 4,966
Simba Ni Lidude Likubwa Sana [emoji1787]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu huu ushabiki siyo wa kiungwana kabisa hawa watu wamekufurahisha mfululizo miaka minne wapoteze mechi moja tu wageuke kuwa machoko ???hatuna Kocha,Pablo ni Choko kama Machoko wengine,na hatuwezi kwenda popote kwa kutegemea MUGALU,KIBU,BOCCO au KAGERE,wote hawa ni MACHOKO waondoke
si hata unaona jina yake ni mbuzi!?.Mkuu huu ushabiki siyo wa kiungwana kabisa hawa watu wamekufurahisha mfululizo miaka minne wapoteze mechi moja tu wageuke kuwa machoko ???
Kwahiyo miaka yote waliyokuwa wanashinda makombe walikuwa machoko ???
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Pesa za uchawi mlio fanya Afrika kusini mmeshalipa? Au mnashangaashangaa tu mpaka mpelekwe polisi
kashafungashiwa viragoSafari hii mnaleta kocha wa barcelona au?
Pablo kakalia kutikavu
Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
🤣🤣🤣Hivi humu hamjamiss kuiona Yanga ikicheza? Mimi uzalendo unanishinda!
Page ya Mabingwa wa Kombe la Mapinduzi!Page ya mabingwa wa nchi