Simba Sports Club (Wekundu wa Msimbazi) | Special thread
Kama mchezaji hawezi kuamua mechi kubwa basi huyo ni average player hatufai kumwita Pro ndani ya Simba .. upo sahihi kiongozi.

One to one - clear chance yeye na kipa ama yeye na beki mmoja - Baleke kafeli kwa 80%. Hatufai.
Mazembe walikua sahihi kumuacha
 
Screenshot_20240115-011137_1.jpg
 
MWAMBA AGAIN
ALLDBEST
 

Attachments

  • 1705495996070.jpg
    1705495996070.jpg
    46.3 KB · Views: 27
Back
Top Bottom