mkuu asante sana kwa kuendelea kutuup udate hapa ..tuko pamoja kama samaki na majifull time , simba 3 na African lyon 0
safi sana mkuu, usiache kutu-updateChama kubwa ndo wanawasili uwanjani.
Watu wapo wengi wa kutosha
safi sana mkuu, usiache kutu-update
Naamini leo tutamwondoa, vipi Joseph Owino umemwonapamoja sana kumuondoa malapa hapo juu.
Naamini leo tutamwondoa, vipi Joseph Owino umemwona
Naamini leo tutamwondoa, vipi Joseph Owino umemwona
asante, huyu jamaa kwenye mechi za kimataifa ni tunamhitaji sana.....Joseph Owino hayupo
Naomba asiwe ameumia sana kwani tunakabiliwa na mechi ngumu sana....Dakika 32 Juma Kaseja umeumia baada ya kufuata mpira na kujigonga kwenye goli anatibiwa