zitto kabwe na idd azan wapo kwenye msafara tuwaombee wote na kikosi chetu.
zitto, kumbe nae mnyama, Kwa mjibu wamagazeti simba wameahidiwa mil 100 wati TP Mazembe wameahidiwa US$ 50,000 zaidi ya TZS 75,250,000.00
 
zitto, kumbe nae mnyama, Kwa mjibu wamagazeti simba wameahidiwa mil 100 wati TP Mazembe wameahidiwa US$ 50,000 zaidi ya TZS 75,250,000.00

nnavyoona tushachukua kitita hicho tayari .
 
nnavyoona tushachukua kitita hicho tayari .
Mkuu leo unaonekani unajiamini sana na game la leo hebu nipe siri yake maana vijana tulikuwa nao hapa Arusha nilivyo waona hofu yangu beki yaani kukosekana kwa Joseph Owino na kiungo Hillary Echessa.
 
Ni kweli TBC1 watatuonyesha moja kwamoja (Live) pambano la Simba Sport Club na TP Mazembe..Asante TBC
 

Acha uniite kandambili au malapa, lakin tutajionea leo. Mi sina mpira wa majigambo ya mdomoni wakati maandalizi hakuna. Kwani hao wabrazil wangefungwa bila TP Mazembe kufanya maandalizi ya kutosha??
Subili muone leo kwamba maandalizi ndio silaha pekee na wala sio kubwabwaja tu.
Nitaendelea kusema ukweli hata mashabiki wa Simba wakasirike vipi, lakin kwa wale waelewa watajua ninachoongea ni kitu gani.
Soka halichezwi kwa majigambo ya SISI NI INTERNATIONAL, SISI TULITOA ZAMALEK NA BARCELONA, SIJUI SISI TULITOA NANI . .. .
Maandalizi ndio kila kitu
 

pole, najua una machungu saana baada ya chama lako na Papic wenu kutokwenda sehemu yoyote ,tupo juu acha kinyongo man tupe support.
 
mkuu crashwise natumai utakua unatu updates kama kawaida mzeya
 
ekanga mkameruni alifunga goli la pili ... na kalioko akafunga ala tatu
okwi alifunga goli moja la sima na mechi imeshaisha
SIMBA naikubali sana yaani TP wakali wa dunia tumetoka nao 3-1??
 
ekanga mkameruni alifunga goli la pili ... na kalioko akafunga ala tatu
okwi alifunga goli moja la sima na mechi imeshaisha
SIMBA naikubali sana yaani TP wakali wa dunia tumetoka nao 3-1??

:lol::lol::lol::lol::lol::lol::lol:
 
nini wewe?

Tatizo lako umezidi kuongea kiushabiki zaidi, hupendi kujadili soka kwa ukweli. Una ushabiki usiojali ukweli.
Wadau wazuri wa soka hawako hivyo.
Mimi tangu jana nilikwambia Simba wataponzwa na maandalizi duni hukutaka kuelewa, umejionea sasa!
Mtasingizia uzembe wa kipa na mabeki, lakin wale sio kwamba walipenda kuwa wazembe, hawakupata maandalizi mazuri ya kutosha.
Maandalizi yangekuwepo tusingekuwa hivi, lakin kwa vile wewe mbishi endelea tu.
Na hata hapa Dar mnaweza mkafungwa vile vile
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…