HAwa wa Nigeria nini Bwana wanaiwekea Vijana wetu wa Tanzania game kwenye uwanja kama wa Yanga Jangwani ikinyesha mvua unatafuta Ngalawa na Nyavu na Ndowano unakuwa mvuvi.
 
HAwa wa Nigeria nini Bwana wanaiwekea Vijana wetu wa Tanzania game kwenye uwanja kama wa Yanga Jangwani ikinyesha mvua unatafuta Ngalawa na Nyavu na Ndowano unakuwa mvuvi.
hahhahah!! hapo kwenye red umenifurahisha kweli kweli
 
Redio gani itarusha hewani ?Mechi itaanza saa9 alasiri za huko Kinshasa DRC ni sawa na saa kumi na moja hapa Tz
 
Redio gani itarusha hewani ?Mechi itaanza saa9 alasiri za huko Kinshasa DRC ni sawa na saa kumi na moja hapa Tz
Unaweza kufuatilia online....onlinescore.info
dakikaka ya 12 mpaka sasa 0-0
 
[TABLE="class: tabulkatd"]
[TR="class: tmava"]
[TD]Dakika 25'
[/TD]
[TD="width: 30%, align: right"]DC Motema Pembe[/TD]
[TD="width: 10%"]0-0
[/TD]
[TD="width: 30%, align: left"]Simba SC
[/TD]
[/TR]
[/TABLE]
 
Dakika ya 90' Barcelona 3-1 Manchester United



Sorry......nimekosea nimeenda FIFA.COM
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…