Mzee Wa Rubisi
JF-Expert Member
- Nov 6, 2010
- 1,757
- 442
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
amen.........
Hii thread mbona haiko up to date? kwa sisi ambao tupo mbali nilitegemea kupata matokeo na matukio ya mechi ya jana kati ya Simba na Tp Mazembe, kulikoni wakuu? hebu tumwagieni data yaliojili.
hawa wanaota nini nao? tutararuaJKT yapanga kuitibulia Simba Send to a friend Sunday, 03 April 2011 20:25 0diggsdigg
Sosthenes Nyoni
NAHODHA wa timu ya JKT Ruvu, Shahibu Nayopa ameiambia Simba wao sio daraja la kuchukulia ubingwa hivyo wajiandae kutibuliwa malengo.Simba na JKT zitakabiliana katika pambano la Ligi Kuu litakalofanyika jijini Dar es Salaam Aprili 6.
Mchezo huo ambao unasubiriwa na wengi unahesabiwa kuwa mtihani wa mwisho kwa Simba yenye pointi 45 kabla kutangazwa ubingwa ili hali ikisubiri kuivaa Majimaji ambayo tayari imeshuka daraja.
Akizunguza na Mwananchi jana, Nayopa alisema kuwa hawatarudia makosa kama yale yaliyowasababisha wakafungwa katika mechi ya mzunguko wa kwanza.
"Sisi si daraja bwana, kama wanafikiri watatangaza ubingwa kwetu watakuwa wanajidanganya tu kwa sababu hata sisi tunataka pointi tatu,"alisema Nayopa.
"Tuliangalia makosa yaliyosababisha tukafungwa katika mpambano wa mzunguko wa kwanza hivyo kila mmoja wetu alilitambua hilo na amelifanyia kazi,"alisema Nayopa.
Alisema kuwa ana uhakika wataibuka kidedea kwa kuwa hata katika mpambano wao wa mzunguko wa kwanza walionyesha kiwango cha hali ya juu, lakini walishindwa kutumia nafasi walizopata tofauti na wenzao.
.Leo vipi shamba la bibi,mwatoka kwa JKT.
Naomba iwe magoli ya kufunda na siyo tofauti ya magoli....mmh ubingwa upo shakani
nahsi bingwa atapatikana kwa tofauti ya magoli ya kufunga na kufungwa, sasa sijui tff wao wanatumia kigezo kipi
Naomba iwe magoli ya kufunda na siyo tofauti ya magoli....
leo hatuwaachi watoto wale