Simba Sports Club (Wekundu wa Msimbazi) | Special thread
ukienda kuangalia mechi ya simba utapata faida zifuatazo kwa muda wa dakika 90

1. utaondoa stress zisababishwazo na maisha magumu

2. utaondoa machungu yakuachwa na bf au gf au mume au mke

3. utaondoa pressure isababishwayo na kuwaza wapi utapata pesa

4. utapata furaha moyoni na mwilini

5. utajihisi uko nchi za ulaya kwa kiwango cha soka uonalo

6. nafsi itachangamka na kujihisi uko peponi

7. utatamani mpira usiishe maana unakuwa kama utamu unakujaa unarudi

8. utajihisi ni tajiri kupindukia maana pasi za assist zitakufanya uwaze utaenda chukulia mkopo

9. utajiona wewe ni bonge la mtu mwenye bahati kwa kuwa mshabiki wa simba maana timu nyingine zikitoa sare zinajiona zimeshinda mbele ya simba

10. utajiona mwili wako umeutendea haki maana macho yataona udambwi masikio yatasikia gogogoooo la
mikono itapiga makofi miguu itarukaruka
mdomo utatabasamu ngozi itahisi msisimko kwa furaha
pua itanusa harufu nzuuri ya mpira wa kiwango


wewe kufa na stress kwa kushabikia yanga uandamwe na magonjwa moyo mtambuka
 
Kituo kinachofata ni JKT Tanzania pale Dodoma siku ya Jumapili.
 
ukienda kuangalia mechi ya simba utapata faida zifuatazo kwa muda wa dakika 90

1. utaondoa stress zisababishwazo na maisha magumu

2. utaondoa machungu yakuachwa na bf au gf au mume au mke

3. utaondoa pressure isababishwayo na kuwaza wapi utapata pesa

4. utapata furaha moyoni na mwilini

5. utajihisi uko nchi za ulaya kwa kiwango cha soka uonalo

6. nafsi itachangamka na kujihisi uko peponi

7. utatamani mpira usiishe maana unakuwa kama utamu unakujaa unarudi

8. utajihisi ni tajiri kupindukia maana pasi za assist zitakufanya uwaze utaenda chukulia mkopo

9. utajiona wewe ni bonge la mtu mwenye bahati kwa kuwa mshabiki wa simba maana timu nyingine zikitoa sare zinajiona zimeshinda mbele ya simba

10. utajiona mwili wako umeutendea haki maana macho yataona udambwi masikio yatasikia gogogoooo la
mikono itapiga makofi miguu itarukaruka
mdomo utatabasamu ngozi itahisi msisimko kwa furaha
pua itanusa harufu nzuuri ya mpira wa kiwango


wewe kufa na stress kwa kushabikia yanga uandamwe na magonjwa moyo mtambuka
Unawakera Uto mkuu
 
HT:

JKT 0 - 3 Simba SC

⚽️ Kagere 03' Minutes
⚽️ Mugalu 05' Minutes
⚽️ Kagere 40' Minutes
 
Daa jamani Yanga wamemfukuza kocha si kwa bahati mbaya,tuendelee kujizatiti mana wamepania sana!
 
SAFU YA USHAMBULIAJI YA SIMBA WANATUVURUGA WACHAMBUZI.

Anaandika @exaud_msaka_habar

Katika eneo ambalo msimu huu litatupa sana wakati mgumu kulijadili ni eneo la ushambuliaji la @simbasctanzania, unaweza kuongea kitu ukaonekana kama hujui mpira kumbe ni kuchanganywa tu.

Leo akicheza Bocco peke yake pale mbele tunasema Bocco ndiye mshambuliaji Bora, na anastahili kuanza kila siku tunamwaga sifa kibao.

Siku akianza Kagere peke yake tunasema sasa huyu ndiye mfungaji Bora kabisa wa Simba na tunamwaga sifa zote.

Sasa akianza Kagere na Mugalu hapo utatupenda wachambuzi, utaskia simba wakianza hivi wanakuwa hatari sana ni balaaa.

Akianza Mugalu peke yake sasa tunaanza WHAT A PLAYER, huyu jamaa ni hatari sana na sifa kibao.

Mi ndio maana nilishajitoa kwenye kwenda na Upepo. Mi nasemaga tu Simba ya Sasa ni Bora sana kwa kuangalia Timu nzima, ni bora kuanzia Inapoanza kwa Kipa mpaka unapofika Golini, yani wana Timu bora ukilinganisha na Timu nyingi za sasa.

Washambuliaji wake wote wanajua goli lilipo, kinachowatofautisha ni inategemea mpinzani wa siku hiyo anafungika vizuri akipangwa na Nani, Kagere, Mugalu au Bocco. ila wote wanajua kufunga.
 
Back
Top Bottom