The best 007
JF-Expert Member
- Oct 6, 2019
- 41,015
- 93,277
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hautojibiwa, uzi ulishakufa huu.Wadau Simba anacheza saa ngap
Saa 1 jioni mkuuWadau Simba anacheza saa ngap
Unaambiwa wydad ni kaka wa Raja [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Kama timu yako haipo hapo basi wewe ni kibonde,[emoji23][emoji23][emoji23]View attachment 2579761
Oooooh kumbe timu yako ni wydad!!!???[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Unaambiwa wydad ni kaka wa Raja [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Unajichekesha au sio, subiri wanaume wakutafune siku hiyo, kwanza naanza mm kukula utamu alafu wydad anakula ndogo kabisa [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Oooooh kumbe timu yako ni wydad!!!???[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Wangerekebisha pia mfumo, haya mambo ya kuingiza timu zaidi ya moja wakati inaitwa ligi ya mabingwa na bingwa wa nchi huwa ni mmoja tu sioni kama kuna mantiki.Caf inabid waangalie upya huu utaratibu, hizi timu zikitolewa champions lg, zibakie tu na mambo mengine sio kuzipeleka mashindano B
Manara apigiwe makofi matatu mazito [emoji122][emoji122][emoji122]Kwa hapa Afrika mashariki na kati sijaona timu ya kumfunga Yanga kwa sasa.
Ihefu tumecheza naye lini? Soma vizuri nilichoandika dunduka wewe. Kweli Rage ajengewe sanamu [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Manara apigiwe makofi matatu mazito [emoji122][emoji122][emoji122]
Hivi IHEFU ipo Amerika ya kusini au Antaktika?????
HUNA AKILI.
Wangerekebisha pia mfumo, haya mambo ya kuingiza timu zaidi ya moja wakati inaitwa ligi ya mabingwa na bingwa wa nchi huwa ni mmoja tu sioni kama kuna mantiki.