Auto-Marvelt
JF-Expert Member
- Jul 13, 2019
- 1,653
- 3,336
Kikosi cha kazi hicho hapo, mtu anakula tano tenaa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hiki kikosi kina upungufu wa wachezaji watatu, Onyango, Sawadogo na Kibu, msijaribu kupanga kikosi kama hiki mbele ya wananchi mtahadithia vizazi vijavyo.Kikosi cha kazi hicho hapo, mtu anakula tano tenaaView attachment 2583315
Nasikia mmeanza kumfananisha Baleke na Mayele [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Yupi ni bora zaidi kwako????View attachment 2583875
Okwi.Yupi ni bora zaidi kwako????View attachment 2583875
Mayele afananishwe na nani sasa?????Nasikia mmeanza kumfananisha Baleke na Mayele [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Mbn unaongea huku hujiamini [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Mayele afananishwe na nani sasa?????
Wanaomfananisha mayele na wachezaji wengine ni utopolo wenzio,
Huyo mayele ana kipi cha zaidi????
Hao uliowaona hapo wote walikuwa matop top scorer katika ligi,
Bocco
Kagere
Okwi
n.k
Mayele amekuwa top scorer wapi?ligi gani?
Huyu anayeshindwa na kina Mpole uje kumfananisha na watu wa kazi.......!!!!!
AKILI AKILI AKILI
MTU WANGU
Al hilal na vipers je?Kwa hapa Afrika mashariki na kati sijaona timu ya kumfunga Yanga kwa sasa.
Kipindi hicho timu haina muunganiko.Al hilal na vipers je?
Yani Vipers kafungwa mpk na Simba tena nje ndani ndio itakuwa Yanga hii?Al hilal na vipers je?
Ihefu fc ni timu kutoka west afrkaKwa hapa Afrika mashariki na kati sijaona timu ya kumfunga Yanga kwa sasa.
Ihefu fc au mbogo maji ni wa Uingeereza?Kwa hapa Afrika mashariki na kati sijaona timu ya kumfunga Yanga kwa sasa.
Mbona nyie madunduka hamnaga akili? Soma vizuri nmesema kwa ss Yanga haifungiki na timu yoyote ile hapa EA, hiyo Ihefu imecheza na Yanga jana au juzi?Ihefu fc ni timu kutoka west afrka
Dunduka mwingine huyu hapa.Ihefu fc au mbogo maji ni wa Uingeereza?
Dunduka lingine hili hapa sijui limeamkia wapi, yani Simba amfunge Yanga ulisikia wapi, mna quality ya kuweza kupambana na Yanga?Timu ya dunia wana lunyasi mko poa
J2 tunampiga UTO 3 tu
Mechi nyingi tulizomfunga Utopolo tulitumia mbinu za nje ya uwanja kama kuonga baadhi ya wachezaji wao mahiri ila wakati huu imekuwa ngumu.Timu ya dunia wana lunyasi mko poa
J2 tunampiga UTO 3 tu