Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hureeeeee. Sasa nafungua Jack Daniels yangu kwa raha zanguBaraza anaipatia Simba goli la Pili
Simba 2-Azam 0
Naona Gang Chomba Anagonjea Mkono Udondoke teh teh tehCurrently Active Users Viewing This Thread: 16 (7 members and 9 guests) Ndege ya Uchumi, amwaisaka, Arsene Wenger, Gang Chomba, Mafuluto, Shakazulu, The Invincible
hana hamu aiseeeNaona Gang Chomba Anagonjea Mkono Udondoke teh teh teh
Hapo nakubaliana na wewe mia kwa mia.kuna mtu kaanzisha thread kwamba simba kashachukua ubingwa.naona kitu kitakuwa tayari mkuu unaweza kuanza kushangilia.
i hope hile mizee yenye njaa hawata leta migogoro tena kuja kuaribu mambo.
kipofu baada miaka 3 kaona mwezi shida!!!huhuuuuuuuuuuu... hali ya gemu vipi? tuanze kuchapa red label??
Hongereni sana Simba,jiandaeni kwa Match ya Yanga...
kipofu baada miaka 3 kaona mwezi shida!!!
Hahaaha. Au achimbe shimo ajifukie.Utakufa nacho Kijiba cha Roho, Kama una wivu mkuu Jitundike au Kunywa Sumu ya Panya
kipofu baada miaka 3 kaona mwezi shida!!!
hivi itakua vipi tukiwapanga simba kids hiyo mechi na kandambili??Ha ha haaaa hiyo itakuwa Mechi ya Kujipima Nguvu Mkuu hatuwawazi Vibonde Yanga sasa Macho ni Harare tukale vichwa kwenye Medani za Kimataifa