Simba sports vs Majimaji, Songea leo tarehe 4.2.2017

Simba sports vs Majimaji, Songea leo tarehe 4.2.2017

Dakika 1 imeongezwa kabla ya kwenda mapumziko.
 
Lufunga hayuko vizuri kabisa isee! Japo simba iko mbele kwa goli moja.
 
Jamaa wa njano na kijani walishinda mechi 2 wakaona ubingwa wa kwao. Hii inaitwa vita ya panya na paka
wote wajanja atakaelala kidogo imekula kwake ....
Mkuu naona umepata nguvu ya kufungua tundu la chooo! Utaharibu hali ya hewa take care.
 
Back
Top Bottom