Mkulima na Mfugaji
JF-Expert Member
- Jul 26, 2013
- 1,047
- 1,832
Tena sana. Hahahha hata kifaransa nakijua piaMkuu!...... Upo vizuri sana na lugha hii ya malkia.
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] Nimecheka sana.Mkuu naona umepata nguvu ya kufungua tundu la chooo! Utaharibu hali ya hewa take care.
Acha bwana ....mkuuPenaaaaaaat..
Wee acha tu Nifah, sitaki kusema sana[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] Nimecheka sana.
Kuna watu mnajua namna ya kufikisha ujumbe kwa siri sana.
Labda nitangaze goli la 4...Acha bwana ....mkuu
embu tangaza goli hilo [emoji16][emoji16][emoji16]
Ha ha ha mtani upo nakuwa kwenye nafasi yangu[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] Nimecheka sana.
Kuna watu mnajua namna ya kufikisha ujumbe kwa siri sana.
Hahaha! Sawa Mkuu. Endelea kuwakomesha na lugha hii adimu.Tena sana. Hahahha hata kifaransa nakijua pia
Hahaah mkuu niko nje ya nchi nivumilie tu napata shida kupata updates [emoji2][emoji2]Labda nitangaze goli la 4...
Inaelekea upo nyuma na wakti mkuu
3 -0 Mnyama ametafunaNgapi ngapi jamani
Poa mkuuNifa Mambo vipi!
Hiyo ni ndoto mkuu.Ha ha ha mtani upo nakuwa kwenye nafasi yangu
Aisee. Safari hii kumbe kazi ipo3 -0 Mnyama ametafuna
Ukumbuke timu yetu kule EPL chaliHiyo ni ndoto mkuu.
Yani leo naumwa mkuu,seriously [emoji24]Ukumbuke timu yetu kule EPL chali