Simba SSC ya kitambo hicho

Simba SSC ya kitambo hicho

msitumie vichwa kubebea masikio.
Hiyo simba inayoongoza kwa ubora iko ktk soka la ridhaa na si la kulipwa...so viwango vyake ni sawa na kariakoo lindi, mji mpwapwa na uharo kama huo.
Wewe unaandika kitu gani bwana hapa, soka la bongo liko mbele kiasi kikubwa sana. Jaribu kuangalia timu zote zinavyofanya usajili kuwa sio wa soka la ridhaa tena bali ni soka la kulipwa. Wewe unaelewaje soka la kulipwa? Mpaka liwe kama la Premier-England, Primera La Liga na kwingineko? Kwa level ya kwetu this is typical proffessional football.
 
Hivi mnamkumbuka Itutu Kigi, Mavumbi Omari, Zamoyoni Mogella, Mackenzie ramadhani, Twaha hamidu, David Mihambo, mbuyi Yondani duh yani acha Simba inatisha toka Kitambo bwana
 
Kweli Yebo yebo mna mambo. Nkamia yupo TBC bado anatangaza mpira ingawa ni mnazi mkubwa wa simba,sued mwinyi yupo zanazibar mechi ya simba na AZAM nilimuona,kweli enzi hizo uende mpirani bila radio-sio siku hizi zama za kina kitenge na gamba ovyooo??????????
 
Wewe unaandika kitu gani bwana hapa, soka la bongo liko mbele kiasi kikubwa sana. Jaribu kuangalia timu zote zinavyofanya usajili kuwa sio wa soka la ridhaa tena bali ni soka la kulipwa. Wewe unaelewaje soka la kulipwa? Mpaka liwe kama la Premier-England, Primera La Liga na kwingineko? Kwa level ya kwetu this is typical proffessional football.

Ndo nakwambia soka la hapa nchini ni uharo.
Coz hao simba unaowasifia si ndo wale walimchezesha mchezaji mwenye kadi 3 za njano?
Sasa je klabu gani ya ulaya inaweza kufanya utumbo huo?
Soka la TZ si ndo hili ambalo kuna timu zinakata rufaa na soka linarudiwa?
Soka la bongo si hili ambalo wachezaji wake hawalipwi mishahara na wanabakia wanapitapita mitaani wanaomba omba?
Usikurupuke
 
Mnyama ana kiu! Jumamosi Oktoba 31 sijui itakuwaje! Yebo Yebo wataipatapata...
 
Mimi nakumbuka miaka tangu late 70s. Over the years nawakumbuka wachezaji kama Omar Mahadhi, Daudi Salum (Bruce Lee), Mohamed Kajole, Aloo Mwitu, Mohamed Bakari Tall, Aluu Ally, Willy Mwaijibe, Hussein Ngulungu, Abdallah Kibadeni,Athumani Mambosasa, Iddi Pazi, Thuweni Ally, Rahim Lumelezi, George Kulagwa, Jumanne Masimenti, George Masatu, Hamisi Gaga, James Kisaka.Nicodemus Njohole.


Kwa Klabu ya Simba naamini hicho ndicho kilikuwa kikosi kikali zaidi kilichowahi kutokea. Isipokuwa HUSSEIN NGULUNGU hakuwahi kuchezea Simba. HAMIS GAGA naye alikuja baadaye zaidi. Hao wengine walikuwa wanatisha! Namkumbuka WILLY MWAIJIBE 'The Flying Winger' aliwatesa sana Yanga Kandambili tulipowashona 6-0 mwaka 1977.
Simba ya sasa pia chini ya Kocha Patrick Phiri nayo inatisha. Kinachofurahisha ni kwamba ina vijana wenye umri mdogo wanaoweza kucheza kabumbu kwa muda mrefu. Nawafagilia zaidi MOHAMED SIMBA BANKA, RAMADHANI CHOMBO 'REDONDO', EMMANUEL OKWI, JOSEPH OWINO, JUMA NYOSO, HARUNA MOSHI 'BOBAN', MUSSA HASSAN 'MGOSI', HILLARY ECHESSA, Kipa JUMA KASEJA na kijana mdogo sana SALUM KANONI...
 
Kwa Klabu ya Simba naamini hicho ndicho kilikuwa kikosi kikali zaidi kilichowahi kutokea. Isipokuwa HUSSEIN NGULUNGU hakuwahi kuchezea Simba. HAMIS GAGA naye alikuja baadaye zaidi. Hao wengine walikuwa wanatisha! Namkumbuka WILLY MWAIJIBE 'The Flying Winger' aliwatesa sana Yanga Kandambili tulipowashona 6-0 mwaka 1977.
Simba ya sasa pia chini ya Kocha Patrick Phiri nayo inatisha. Kinachofurahisha ni kwamba ina vijana wenye umri mdogo wanaoweza kucheza kabumbu kwa muda mrefu. Nawafagilia zaidi MOHAMED SIMBA BANKA, RAMADHANI CHOMBO 'REDONDO', EMMANUEL OKWI, JOSEPH OWINO, JUMA NYOSO, HARUNA MOSHI 'BOBAN', MUSSA HASSAN 'MGOSI', HILLARY ECHESSA, Kipa JUMA KASEJA na kijana mdogo sana SALUM KANONI...

Wapi HUSSEIN AMAN MASHA, HAJAWAHI KUKOSA PENATI HUYU
 
Kikosi cha Simba cha sasa hivi kinanikumbusha timu ya kipindi cha nyuma cha Wekundu wa Msimbazi wakati ndio mpira unapigwa kihuakika. Ongeza wengine tujikumbushe soka lilivyokuwa tamu. Hata watani Yanga mnaruhusiwa kuweka Maveterani wenu hapa.

Mohamed Mwameja
Kasongo Athumani
Alphonce Modest
Deo Mkuki
George Masatu
Hussein Masha
Lenny Ramadhani
Edward Chumila
Malota Soma
Dua Said
Damian Kimti
Nteze John
Thomas Kipese
George Lucas

Na wengine wengi

Ah!! Mkuu mbona hii ni simba ya juzi tu.. Simba ya zamani ungekuwa unazungumzia hawa hapa!!

1. Athumani Mambosasa/Omar Mahadhi bin Jabir
2. Mohamed Kajole
3.Daudi Salum (Bruce Lee)
4. Mohamed Bakari Tall
5. Ezekiel Grayson "Jujuman"
6. Nico Njohole
7. Willy Mwaijibe
8.George Kulagwa
9. Abdallah King Kibadeni
10. Jumanne Hassan Masiment
11. Thuweni Ally


Then ndio wakaja hawa akina Iddi Pazi, Mussa Kiwelo, Twaha Hamidu, Thobias Nkoma, Athumani Maulidi, Lilla Shomari, Lenny, Sunday Juma, Willy Kiango, Amri Ibrahim, Mtemi Ramadhani, Juma Limonga, Saulo Jaji, Issa Kihange, Edward Chumila, Malota Soma,Ayoub Mzee, Abdallah Mwinyimkuu, Dua Said, Zuberi Magoha, Zamoyoni Mogella, Deo Njohole, Raphael Paul, Bakari Iddi, Mavumbi Omari,.....Chini ya uongozi wa akina Jimmy David Ngonya!!!
 
Ndo nakwambia soka la hapa nchini ni uharo.
Coz hao simba unaowasifia si ndo wale walimchezesha mchezaji mwenye kadi 3 za njano?
Sasa je klabu gani ya ulaya inaweza kufanya utumbo huo?
Soka la TZ si ndo hili ambalo kuna timu zinakata rufaa na soka linarudiwa?
Soka la bongo si hili ambalo wachezaji wake hawalipwi mishahara na wanabakia wanapitapita mitaani wanaomba omba?
Usikurupuke
kosa la kuchezesha mchezaji mwenye kadi tatu za njano ni la misimu mitatu iliyopita hakukuwa na kumbukumbu TFF sahihi kwani refa alionyecha kadi mbele ya wachezaji 4 na akiwepo mgosi na kosa mgosi hakulifanya lakini kwa makosa ya kibinada/hata uraya hutikea akandikwa mgosi ndiyo kapewa kadi nyekundu wakati meneja wa simba akandika jina sahihi la aliye fanya kosa na kipindi kile TFF walikuwa wana toa Taarifa mfano simba hata mtumia mchezajia Hasani Mgosi kwasababu anakadi 3 za njano na walifanya hivyo kwa timu 2 kabla hawaja tuchuni ilipofika game la simba na Kagera..
kwa siku za karibuni sijaona mechi ikirudiwa pamoja na timu yako kutaka Simba inywang'anywe pointi 6 yaani matokeo ya mezania TFF ilikataa ujinga huo kwani ilionekana ndiyo tabia ya Yanga kucheza mpira mezani..
Soka la Tanzania yaani VPL wengi wanalipwa mishahara bado baadhi ya timu zina matatizo madogomadogo ambayo hata huko uraya yapo..
 
Na hii nimeikuta kule mtaa wa pili kwa MICHUZI,

simba sc yaongoza kwa ubora duniani?
6265d1256223796-a-sany4484.jpg
..Mkuu Invisible any comments??? Najua wewe mwenzangu habari za mnyamna hizi hapa unasemaje??
 
Wewe unaandika kitu gani bwana hapa, soka la bongo liko mbele kiasi kikubwa sana. Jaribu kuangalia timu zote zinavyofanya usajili kuwa sio wa soka la ridhaa tena bali ni soka la kulipwa. Wewe unaelewaje soka la kulipwa? Mpaka liwe kama la Premier-England, Primera La Liga na kwingineko? Kwa level ya kwetu this is typical proffessional football.

Let's go step by step; what are the defining features of a professional league? Ukizitaja hizo tutaangalia kama nasie tumo au kalagabaho!!!!!
 
Mnakumbuka kipindi Simba ilitaka kugeuzwa kuwa Taifa Stars? Kipindi inafadhiliwa na Azim Dewji. Ila ikachezea kichapo kwa timu ya Ivory Coast, Stella, wakati wa fainali za kombe la CAF.
Daa,umenitonesha donda lililokuwa likipona taratibu,nikikumbuka hii mechi siwezi sahau rushwa kamwe,hujuma zilizofanywa na Mwameja na wenzake wakiongozwa na Azim Dewji ni za kulaaniwa sana,Dewji aliahidi KIA,lakini alipoona kaahidi kitu kilicho juu ya uwezo wake akaona awape baadhi ya wachezaji hela iliwaachie ule mchezo,mmoja kati ya walionufaika na mpango huo ni Mwameja!!
 
hivi yule mchezaji aliyedondoka uwanjani siku ya Raca rovers ya Nigeria na Simba pale Taifa anaitwanani vile? Sio Hussein Tindwa ?
 
wadau naomba mtu yeyote mwenye kumbukumbu ya kikosi cha Stella abidjan anitajie nami nitampa nusu ya utajiri wangu.
Manake simba sasa wanajifananisha na AC Milan
 
Daa,umenitonesha donda lililokuwa likipona taratibu,nikikumbuka hii mechi siwezi sahau rushwa kamwe,hujuma zilizofanywa na Mwameja na wenzake wakiongozwa na Azim Dewji ni za kulaaniwa sana,Dewji aliahidi KIA,lakini alipoona kaahidi kitu kilicho juu ya uwezo wake akaona awape baadhi ya wachezaji hela iliwaachie ule mchezo,mmoja kati ya walionufaika na mpango huo ni Mwameja!!
Kumbe ilikuwa hivi mkuu
it was very bad then
kumbe tungechukuwa ubingwa bwana
Mimi nilisikiaga kama tetesi kumbe it was true bwana
N way this season lazima tuonyeshe maajabu Afrika
 
Let's go step by step; what are the defining features of a professional league? Ukizitaja hizo tutaangalia kama nasie tumo au kalagabaho!!!!!
Tumo mkubwa Kwa Afrika waala husitie shaka ndugu yangu! Zichukue zile za Ulaya then ziapply kwa Afrika basi utaona na ya kwetu inaingia kabisa hata kama sio 100%
 
Jamani na kesho tunachukua pointi zote tatu hapo uwanja wa Taifa tutakapocheza na yebo yebo!!! Mimi nitakuwepo uwanjani jukwaa la Wabangaizaji ndio kuna ushabiki mzuri na wa kufurahisha!!
 
Nimekutana na thread hii hapa nikaona si vibaya nikauliza kama SIMBA ya sasa inaweza kuzalisha vipaji hivi vya zamani kidogo au hawa hawa wa sasa hawawezi kufuata nyayo za akina George Masatu, Hussein Marsha, Mohamed Mwameja na wenzie?

Kwa mfano ni sahihi kumfananisha Mohamedi Mwameja na Juma Kaseja?
 
wadau naomba mtu yeyote mwenye kumbukumbu ya kikosi cha Stella abidjan anitajie nami nitampa nusu ya utajiri wangu.
Manake simba sasa wanajifananisha na AC Milan
Kwa Afrika SIMBA ni zaidi ya AC Milan GC
 
Back
Top Bottom