Simba SSC ya kitambo hicho

Simba SSC ya kitambo hicho

Nilikuta kwenye tawi moja na kunakili hii1st eleven iliyoifunga Yanga 6-0 kwenye mechi ya fainali na kutwaa ubingwa wa TZ. Nadhani hii ndiyo tuitambue kama best 11ya SSC ever

Omar Mahadhi
Shaban Baraza
Mohamed Kajole
Athuman Juma
Mohammed Bakari Tall
Omar Gumbo
Willy Mwaijibe
Khalid Hillal
Jumanne Hassan
Abdallah Kibaden
Abbas Dilunga
 
Nilikuta kwenye tawi moja na kunakili hii1st eleven iliyoifunga Yanga 6-0 kwenye mechi ya fainali na kutwaa ubingwa wa TZ. Nadhani hii ndiyo tuitambue kama best 11ya SSC ever
Kweli hicho kilikuwa kikosi cha miaka yote, ingawa hii ya sasa inatisha kwa kuchukua ubingwa pasipo kufungwa hata game moja. Simba juuuuuuuuuuuuuuuuuu
 
Kikosi cha Simba cha sasa hivi kinanikumbusha timu ya kipindi cha nyuma cha Wekundu wa Msimbazi wakati ndio mpira unapigwa kihuakika. Ongeza wengine tujikumbushe soka lilivyokuwa tamu. Hata watani Yanga mnaruhusiwa kuweka Maveterani wenu hapa.

Mohamed Mwameja(tanzania one)
Kasongo Athumani
Alphonce Modest
Deo Mkuki
George Magere Masatu
Hussein Amani Masha
Lenny Ramadhani Maufi
Edward Chumila
Malota Soma (ball juggler)
Dua Said
Damian Kimti
Nteze John
Thomas Kipese (Anko Tom)
George Lucas

Na wengine wengi
Hii ni simba kweli kweli
 
Samahani sana waungwana, naomba no contact za George Masatu, nina shida muhimu ni kuhusu Gimmy,

samahani kwa usumbufu najua si mahali pake ila nimeona hapa ntapata msaada
 
Zamoyoni Mogela
Hamisi Gaga-Rino
Method Mogela
Fikiri Magoso
Thuweni Ally
 
Kikosi cha Simba cha sasa hivi kinanikumbusha timu ya kipindi cha nyuma cha Wekundu wa Msimbazi wakati ndio mpira unapigwa kihuakika. Ongeza wengine tujikumbushe soka lilivyokuwa tamu. Hata watani Yanga mnaruhusiwa kuweka Maveterani wenu hapa.

Mohamed Mwameja
Kasongo Athumani
Alphonce Modest
Deo Mkuki
George Masatu
Hussein Masha
Lenny Ramadhani
Edward Chumila
Malota Soma
Dua Said
Damian Kimti
Nteze John
Thomas Kipese
George Lucas

Na wengine wengi


Aisee umenikumbusha Lenny Ramadhani ngoja nikafute machozi.....R.I.P Lenny
 
Back
Top Bottom