Simba tatizo ni mbinu na kutokuwaheshimu Raja

bulabo

JF-Expert Member
Joined
Aug 20, 2015
Posts
628
Reaction score
780
Ukiangalia mechi vizuri Simba tuliwadharau RAJA mpango kazi wa kucheza nao ukawa kama tuncheza na ruvu. Haiwezekeni ucheze na RAJA uaache magap nyuma na ktkt makubwa namna ile. SImba tubadilike namna ya kucheza na wapinzani.

Katika palikufa kabisa kwa sbb saido ilibdi awe anakuja kukaba chini na inaonyesha mzamiru bila kanoute haonekani.

Simba tujiandae pia kule Uganda. Ukiangalia mechi ya VIPERS vs HOROYA horoya waliweka watu watano ktktk kwa hiyo tujipange mpango kazi uwe mzuri...

SIMBA KAZI TUNAYO MWAKA HUU
 
Hebu acheni utoto shida ya Simba sio mbinu tu hata quality ya wachezaji ni ndogo pia, sawa dogo, Baleke,sakho, mzamiru.

Mbaya zaidi kocha akaingia na aina ya wachezaji wengi ambao msaada wao kwenye timu ni pale inashambulia Ila ikishambuliwa hawana msaada.

Chama
Saido
Sakho
Bocco.

👆Hao juu kwa kocha mwenye uwezo wakusoma adui yake hawezi kuwaweka wote wakati mmoja, watakupa 80% timu ikiwa na mpira na watakupa 35%timu ikiwa haina mpira ndio maana juzi viungo wa Simba walizidiwa haswa.
 
Kazi kweli kweli! Mpaka leo bado mashabiki wanaweweseka tu na kile kipigo!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…