CHIZI VITABU
JF-Expert Member
- Jun 12, 2021
- 1,061
- 2,477
Team kupewa maelekezo ya kuvunja wachezaji wa simba siyo hjuma? ile jan ni rasharasha nasikia wmegombezwa baada ya kuonekana watu hawajavunjika vizuri, unatka tusilalamike? yaani plan ni kwamba hadi mwisho wa msimu simba isiwe na wachezaji fit zaidi ya watanoYaani leo Simba ndio wamegeuka wa kulalamika lamika hujuma. Kweli maisha yanaenda kasi sana.