YEHODAYA
JF-Expert Member
- Aug 9, 2015
- 36,902
- 52,001
Mechi ya jana simba walielemewa kila upande dakika zote tisini
Kipa wa simba alikuwa busy dakika zote tisini hakuna kupumzika
Kipa wa Yanga muda mwingi hakuwa na kazi a relax muda wote wa dakika 90.Sababu yanga timu ilikuwa muda wote msitari wa mbele kuhakikisha simba haipeleki mpira golini kwao
Nilishangaa penalties golikipa wa yanga ambaye muda mwingi hakuwa kazi kushindwa kudaka
Kwangu mimi shujaa wa mchezo wa jana ni golikipa wa simba ana stamina ya kutosha na uwezo mkubwa
Simba wana timu mbovu Ila golikipa wanaye. Yanga wana wachezaji wazuri mno ila golikipa hawana
Kipa wa simba alikuwa busy dakika zote tisini hakuna kupumzika
Kipa wa Yanga muda mwingi hakuwa na kazi a relax muda wote wa dakika 90.Sababu yanga timu ilikuwa muda wote msitari wa mbele kuhakikisha simba haipeleki mpira golini kwao
Nilishangaa penalties golikipa wa yanga ambaye muda mwingi hakuwa kazi kushindwa kudaka
Kwangu mimi shujaa wa mchezo wa jana ni golikipa wa simba ana stamina ya kutosha na uwezo mkubwa
Simba wana timu mbovu Ila golikipa wanaye. Yanga wana wachezaji wazuri mno ila golikipa hawana