Simba timu yenye wachezaji wabovu na kipa mzuri. Yanga ina wachezaji wazuri na kipa mbovu

Simba timu yenye wachezaji wabovu na kipa mzuri. Yanga ina wachezaji wazuri na kipa mbovu

YEHODAYA

JF-Expert Member
Joined
Aug 9, 2015
Posts
36,902
Reaction score
52,001
Mechi ya jana simba walielemewa kila upande dakika zote tisini
Kipa wa simba alikuwa busy dakika zote tisini hakuna kupumzika

Kipa wa Yanga muda mwingi hakuwa na kazi a relax muda wote wa dakika 90.Sababu yanga timu ilikuwa muda wote msitari wa mbele kuhakikisha simba haipeleki mpira golini kwao

Nilishangaa penalties golikipa wa yanga ambaye muda mwingi hakuwa kazi kushindwa kudaka

Kwangu mimi shujaa wa mchezo wa jana ni golikipa wa simba ana stamina ya kutosha na uwezo mkubwa

Simba wana timu mbovu Ila golikipa wanaye. Yanga wana wachezaji wazuri mno ila golikipa hawana
 
Mechi ya jana simba walielemewa kila upande dakika zote tisini
Kipa wa simba alikuwa busy dakika zote tisini hakuna kupumzika

Kipa wa Yanga muda mwingi hakuwa na kazi a relax muda wote wa dakika 90.Sababu yanga timu ilikuwa muda wote msitari wa mbele kuhakikisha simba haipeleki mpira golini kwao

Nilishangaa penalties golikipa wa yanga ambaye muda mwingi hakuwa kazi kushindwa kudaka

Kwangu mimi shujaa wa mchezo wa jana ni golikipa wa simba ana stamina ya kutosha na uwezo mkubwa

Simba wana timu mbovu Ila golikipa wanaye.Yanga wana wachezaji wazuri mno ila golikipa hawana
Wachaa mbuzi


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nimempenda sana MPWAYUNGU RAFIKI YANGU.

AMEOMBA Moderators WA Jamii Forum wafute Nyuzi ZAKE ZOTE

1. LENGO likiwa ni kuokoa Seva za Jamii forum
Ameona Nyuzi ZAKE ZINAJAZA Seva bila sababu yote ya msingi.

2. Ameona Nyuzi ZAKE nyingine hazina Impact kubwa kwenye Jamii.

KUANZA UPWA SI UJINGA.
BADO UNA NAFASI KAKA
 
Screenshots_2023-08-14-08-28-02.jpg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mechi ya jana simba walielemewa kila upande dakika zote tisini
Kipa wa simba alikuwa busy dakika zote tisini hakuna kupumzika

Kipa wa Yanga muda mwingi hakuwa na kazi a relax muda wote wa dakika 90.Sababu yanga timu ilikuwa muda wote msitari wa mbele kuhakikisha simba haipeleki mpira golini kwao

Nilishangaa penalties golikipa wa yanga ambaye muda mwingi hakuwa kazi kushindwa kudaka

Kwangu mimi shujaa wa mchezo wa jana ni golikipa wa simba ana stamina ya kutosha na uwezo mkubwa

Simba wana timu mbovu Ila golikipa wanaye.Yanga wana wachezaji wazuri mno ila golikipa hawana
Mpira umeingiliwa na kina Mama, Diara ni mbovu?

Sent from my M2006C3LG using JamiiForums mobile app
 
Wanaofaa kuombewa ni wengi sana huyo hapo ni sample tu.Ukweli ni kwamba wengi wao ni wagonjwa.

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Mtasema yoteeee,.[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Back
Top Bottom