Wachaa mbuziMechi ya jana simba walielemewa kila upande dakika zote tisini
Kipa wa simba alikuwa busy dakika zote tisini hakuna kupumzika
Kipa wa Yanga muda mwingi hakuwa na kazi a relax muda wote wa dakika 90.Sababu yanga timu ilikuwa muda wote msitari wa mbele kuhakikisha simba haipeleki mpira golini kwao
Nilishangaa penalties golikipa wa yanga ambaye muda mwingi hakuwa kazi kushindwa kudaka
Kwangu mimi shujaa wa mchezo wa jana ni golikipa wa simba ana stamina ya kutosha na uwezo mkubwa
Simba wana timu mbovu Ila golikipa wanaye.Yanga wana wachezaji wazuri mno ila golikipa hawana
Mpira umeingiliwa na kina Mama, Diara ni mbovu?Mechi ya jana simba walielemewa kila upande dakika zote tisini
Kipa wa simba alikuwa busy dakika zote tisini hakuna kupumzika
Kipa wa Yanga muda mwingi hakuwa na kazi a relax muda wote wa dakika 90.Sababu yanga timu ilikuwa muda wote msitari wa mbele kuhakikisha simba haipeleki mpira golini kwao
Nilishangaa penalties golikipa wa yanga ambaye muda mwingi hakuwa kazi kushindwa kudaka
Kwangu mimi shujaa wa mchezo wa jana ni golikipa wa simba ana stamina ya kutosha na uwezo mkubwa
Simba wana timu mbovu Ila golikipa wanaye.Yanga wana wachezaji wazuri mno ila golikipa hawana
umepotea jukwaa, Kuna jukwaa la udini hapa sio mahalo pale.Rasmi sasa Ally Salim (Muislamu mwenzangu) kawa Full pakegi katuma salamu kwa manula na Huyu muarabu koko
Weka akiba ya MANENO kijanaSimba wana timu mbovu Ila golikipa wanaye.Yanga wana wachezaji wazuri mno ila golikipa hawana
Wanaofaa kuombewa ni wengi sana huyo hapo ni sample tu.Ukweli ni kwamba wengi wao ni wagonjwa.
Udini unatoka wapi wewe furugobeRasmi sasa Ally Salim (Muislamu mwenzangu) kawa Full pakegi katuma salamu kwa manula na Huyu muarabu koko
Wanaofaa kuombewa ni wengi sana huyo hapo ni sample tu.Ukweli ni kwamba wengi wao ni wagonjwa.