Simba tuelewe tofauti ya Mshindi (Winner) na Bingwa (champion)

Simba tuelewe tofauti ya Mshindi (Winner) na Bingwa (champion)

ngara23

JF-Expert Member
Joined
Aug 31, 2019
Posts
9,091
Reaction score
21,087
Wanasimba wamekuwa wakidanganyika na viongozi wao wakiwahadaa ati wao ni mabingwa wa community shield, ambao sio kweli.

Wataambia kesho eti wamekuwa mabingwa wa Muungano ambao sio kweli

Wanasimba amkeni kuwa bingwa huwezi cheza mechi mbili tu ukawa bingwa kuwa bingwa sio rahisi hivo

Rage kama alivowaita mbumbumbu utakuta wanasema eti wana kombe la ngao ya jamii mara WhatsApp kombe basi huwa tunaishia kushangaa akili za watani
 
Jifunze kutofautisha kati ya Tournament na ligi.

Tournament inachezwa kwa kipindi kifupi inaweza kuchukua hata siku 2 kukamilisha michuano kwa sheria ya one last man standing.

Wakati league ni mfumo wa muda mrefu wa kumtafuta bingwa kwa njia ya points.

Ukiibeza Tournament kwa maneno ya kifedhuli utakuwa umeutukana mpira kwa ujumla wake.

Kwasababu mpaka sasa mashindano yenye thamani kubwa duniani ni World Cup ambayo ni Tournament sio ligi.
 
Jifunze kutofautisha kati ya Tournament na ligi.

Tournament inachezwa kwa kipindi kifupi inaweza kuchukua hata siku 2 kukamilisha michuano kwa sheria ya one last man standing...
Kuna world cup inaanzia semi final
 
Wanasimba wamekuwa wakidanganyika na viongozi wao wakiwahadaa ati wao ni mabingwa wa community shield, ambao sio kweli...

Utopolo ni nini kinawapata....! Ni Kiwewe au Ndo kupagawa?

Yaani hata hiyo Fainali ya Kombe La Muungano haijachezwa na Bingwa bado hajajulikana, nyie mnahaha Kutoa ufafanuzi uchwara ,mara oooh Kombe La mchongo..!

Fainali ni Kesho, tulieni msianze Kuweweseka..!
 
Unafahamu role ya tournament?

Mashindano gani hapa Afrika yenye hadhi na thamani kubwa kuliko AFL?

Mbona AFL ilianzia na quarter final?
AFL zilichezwa mechi mbili pekee??
 
Utopolo ni nini kinawapata....! Ni Kiwewe au Ndo kupagawa?

Yaani hata hiyo Fainali ya Kombe La Muungano haijachezwa na Bingwa bado hajajulikana, nyie mnahaha Kutoa ufafanuzi uchwara ,mara oooh Kombe La mchongo..!

Fainali ni Kesho, tulieni msianze Kuweweseka..!
Basi heshima tumpe Rage

Kesho mtakuwa mabingwa wa Muungano
 
Wataambia kesho eti wamekuwa mabingwa wa Muungano ambao sio kweli

Wanasimba amkeni kuwa bingwa huwezi cheza mechi mbili tu ukawa bingwa kuwa bingwa sio rahisi hivo
Una harufu zote za 🐸🐸 japo umejipachika usimba.

Akili zako zimejaa utoto mwingi.

Ni vyema ungekaa kimya tu kuliko kujidharirisha na hoja ya kitoto.

Hivi bango la 7-2 mmelisimika na pale jangwani?
 
Una harufu zote za 🐸🐸 japo umejipachika usimba.

Akili zako zimejaa utoto mwingi.

Ni vyema ungekaa kimya tu kuliko kujidharirisha na hoja ya kitoto.

Hivi bango la 7-2 mmelisimika na pale jangwani?
Tutaliweka hapo umbumbumbuni mlisome kwa ukaribu
 
AFL zilichezwa mechi mbili pekee??
Ndio maana nikakuuliza unaelewa role ya tournament?

Hiki kitu unakijua vizuri?

Nikikuambia unitajia aina 4 za tournament unazijua, unaweza kuzielezea and how they operate?
 
Ndio maana nikakuuliza unaelewa role ya tournament?

Hiki kitu unakijua vizuri?

Nikikuambia unitajia aina 4 za tournament unazijua, unaweza kuzielezea and how they operate?
Wewe ndo huelewi me nakwambia tofauti ya champion na winner wewe unaniletea mambo ya aina za tournament
 
Tournament au league vyote vinatoa champion.

Lakini mshindi wa community shield au sijui muungano hawezi kuitwa champion kutokana na muundo wake
Tournament ya mechi mbili haipati bingwa bali mshindi wa mchezo tu
 
Unafahamu role ya tournament?

Mashindano gani hapa Afrika yenye hadhi na thamani kubwa kuliko AFL?

Mbona AFL ilianzia na quarter final?
Kwa jinsi nilivyokusoma juu umetofautisha kati ya ligi na tournament lakini nimeshangaa sana kuona kwenye mifano yako umeitumia AFL kwa upande wa tournament wakati AFL ni league ( African football league)
 
Tournament au league vyote vinatoa champion
Lakini mshindi wa community shield au sijui muungano hawezi kuitwa champion kutokana na muundo wake
Tournament ya mechi mbili haipati bingwa bali mshindi wa mchezo tu
Mshindi wa mchezo anapewaje kombe?

Uliwahi kuona wapi kila baada ya mechi kuisha, mshindi anakabidhiwa kombe na huyo mkabidhiwa asiwe considered kama champion?

Unaelewa kwenye parade yenu ya msimu jana mlisherehekea treble?

Unaelewa treble maana yake?
 
Tournament au league vyote vinatoa champion
Lakini mshindi wa community shield au sijui muungano hawezi kuitwa champion kutokana na muundo wake
Tournament ya mechi mbili haipati bingwa bali mshindi wa mchezo tu
Kwa hii Comment umejipambanua kwa uwazi kabisa kuwa wewe ni utopian amphibian akili kisoda og 😂😂
 
Wekeni nchi nzima itapen

Kwenye tournament mshindi ni champion
Bingwa anapatika kwa michezo mingi na team shiriki zinakuwa nyingi world Cup ina team zaidi ya 32 utailinganisha vip na Muungano wewe

Kumpata bingwa mfano bingwa anaweza kuteleza akapoteza michezo baadae akajipata.

Mfano Ivory coast alipoteza mechi kama 3 hatua za awali leo ndo bingwa wa Afcon na Argentina vilevile
Hebu nambie kwenye kumpata winner kama ukipoteza mchezo utabaki mashindanoni
 
Kwa jinsi nilivyokusoma juu umetofautisha kati ya ligi na tournament lakini nimeshangaa sana kuona kwenye mifano yako umeitumia AFL kwa upande wa tournament wakati AFL ni league ( African football league)
Usipagawe na jina la "ligi"

Hata UEFA Champions League nayo ni tournament

Hiyo ni aina ya tournament ya robin round
 
Back
Top Bottom