Nyingi ni ngapi?Bingwa anapatika kwa michezo mingi na team shiriki zinakuwa nyingi world Cup ina team zaidi ya 32 utailinganisha vip na Muungano wewe
Kumpata bingwa mfano bingwa anaweza kuteleza akapoteza michezo baadae akajipata
Mfano Ivory coast alipoteza mechi kama 3 hatua za awali leo ndo bingwa wa Afcon na Argentina vilevile
Hebu nambie kwenye kumpata winner kama ukipoteza mchezo utabaki mashindanoni
Basi hata ligi kuu ni tournament kama ni hivyo.Usipagawe na jina la "ligi"
Hata UEFA Champions League nayo ni tournament
Hiyo ni aina ya tournament ya robin round
Sio tournamentBasi hata ligi kuu ni tournament kama ni hivyo.
Hii ndio maana yako ya treble au hiki ulichokiandika hakina uhusiano na swali langu nililokuuliza maana ya treble?Treble inaweza jumuisha mafanikio yote ikiwemo mshindi na ubingwa
Sio tournament
Kwasababu ligi ni mjumuisho wa misimu miwili na huchukua muda mrefu kuhitimika.
Na points zinazokuwa obtain kwenye hizo timu shiriki zinasaidia kupata ingizo jipya la timu kutoka championship kupitia playoff.
Hii ndio maana yako ya treble au hiki ulichokiandika hakina uhusiano na swali langu nililokuuliza maana y
Treble means three victories or championships in one seasonHii ndio maana yako ya treble au hiki ulichokiandika hakina uhusiano na swali langu nililokuuliza maana ya treble?
Maana ya ligi iliyotumika hapo ni association wala isikuchanganye.Huwezi kuita koleo kuwa ni kijiko wakati sio kijiko, waliota UEFA champions league sio wajinga wakatumia neno league kwani wao hawajui maana ya neno league kiasi kwamba watumie neno lisilo sahihi kwenye mashindano?
UEFA, Europa CAF champions, na AFL hizo zote ni ligi na ndio maana unakuta ni mashindano yanafanyika kwa misimu miwili yaani bingwa anakuwa wa 2022/2023.
Mwaka jana mlifanya parade ya treble kwa kuwa champion kwa makombe gani?Treble means three victories or championships in one season
Maana ya ligi iliyotumika hapo ni association wala isikuchanganye.
Ligi na tournament ni vitu viwili tofauti.
Kwenye ligi kila timu lazima icheze mechi mbili na timu inayoshiriki hiyo michuano.
Kwenye tournament hilo sio necessary kwasababu ni mfumo wa last man standing.
Maana ya ligi iliyotumika hapo ni association wala isikuchanganye.
Ligi na tournament ni vitu viwili tofauti.
Kwenye ligi kila timu lazima icheze mechi mbili na timu inayoshiriki hiyo michuano.
Kwenye tournament hilo sio necessary kwasababu ni mfumo wa last man standing.
Hujaelewa kilichoandikwa.Kwani kwenye UEFA timu hazichezi mechi mbili na timu inayoshiriki hiyo michuano?
Hiyo treble unaipataje kwenye tournament ambayo Haina bingwa?Sio kila kombe no kombe la ubingwa
Haya treble yanga last year
Community shield winner+ FA champion+ NBCPL champion=treble
We jamaa ni mgumu kuelewaHiyo treble unaipataje kwenye tournament ambayo Haina bingwa?
Haya naomba uje na definition ya league kwanza ndipo twende mbeleHujaelewa kilichoandikwa.
Nimesema concept ya ligi timu zote shiriki lazima zikutane
Unaposema makombe ya ushindi maana yake nini?We jamaa ni mgumu kuelewa
Nimekwambia
Treble means three victories or championships in one season
Yani changanya makombe ya ushindi na ubingwa utapata treble,
Umeelewa?
Kwani hapo nilikuwa nakupa definition ya kitu gani?Haya naomba uje na definition ya league kwanza ndipo twende mbele