Karibu kwa Wananchi
Acha chuki bhana haitajenga chochote .....pale yuko limited hawezi fanya chochoteKashindwa kukuza brand za mengine ndio aweze Simba? Nyie watu vipi? Wengine tumekuwa na Simba tokea mshamba huyo wa Kolomije hajazaliwa hivyo hatumtaki ebo!
Simba sio ya kuwa na watu wenye mikono iliyojaa damu
Sent using Jamii Forums mobile app
Kashindwa kukuza brand za mengine ndio aweze Simba? Nyie watu vipi? Wengine tumekuwa na Simba tokea mshamba huyo wa Kolomije hajazaliwa hivyo hatumtaki ebo!
Simba sio ya kuwa na watu wenye mikono iliyojaa damu
Sent using Jamii Forums mobile app
Aliyekudanganya Simba SC ni kwa ajili ya Pwani tu nani?Julio alisema si nyingi haya. Simba na Yanga ni kwa Ajiri Yetu Wazawa wa Dar es Salaam na Pwani yke ila tumeyataka wenyewe acha wafanye watakavyo maana wanasema eti Dar es salaam Aina wenyewe wapumzike salama wazee wetu Tabu Mangara. Juma Salum Mwavuge. Ba mchawi Saad Juma Mzee Nk...
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwa hiyo Makonda katishia, niweke kama mshauri au picha nje nje?
Hatumtaki, sasa viwanjani kelele kila Simba ikicheza ni "HATUMTAKI MAKONDA, HATUMTAKI MAKONDA" hadi kieleweke.View attachment 1326264
Sent using Jamii Forums mobile app
Kuwepo kwa bashite ni laana kwa SimbaAcha chuki bhana haitajenga chochote .....pale yuko limited hawezi fanya chochote
Sent using Jamii Forums mobile app
Aliyekudanganya Simba SC ni kwa ajili ya Pwani tu nani?
Unamjua hata muanzilishi wa Sunderland wewe?
.
Timu iliyokuwa ya dsm hadi sasa inahangaika kuliondoa hilo jina ni Yanga inaitwa Dar Es Salaam Young African, Klabu ya Simba haijawahi kuwa na mlengo huo ndio maana tume wa overtake vyura
Shadeeya
Sema sitaki ,Mimi mwanachama wa simba naunga mkono tena ikibidi alete watu wengine influential kabisa Simba inapaswa kuwa taasisi ndani yake yenye watu maarufu kabisa ikibidi hata raisi wetu ,waziri mkuu ,makamu wa raisi wawe washauri wa SSCMkataba wako MO Dewji na klabu ya Simba haukuhusisha kutuletea kwenye timu watu upendao/wanaokushinikiza ili wawe sehemu ya timu.
Huwezi kumleta Paulo Makonda ndani ya timu yetu hata kidogo. Makonda ana tuhuma nyingi zinazo gusa maisha ya watu jee kama watu wenye mahusiano na walio umizwa kama ni wanachama au washabiki wa Simba wanajisikiaje?
Mtu mwenye mikono michafu juu ya maisha ya watu anasababu gani kuingizwa timu ya Simba? Unataka kuigeuza Simba ionekane sio Klabu ya burudani na michezo bali ya maumivu na mateso kwa watu?
Hatutaki, hatutaki. Kwanza ushauri katika nini atafit kuutoa huyo? Kila jambo anafeli na kuharibu ndio aje Simba?
Sasa bora tuwashawishi wachezaji wapoteze mechi mbili za Alliance na Coastal ili kukuonyesha hatumtaki Bashite. Au kushawishi mechi ya kesho kuzomewa timu kwa jina LA Bashite hadi utakapo tengua maamuzi hayo yenye mrengo wa siasa, maana pengine umelazimishwa tuu kufanya hivyo na Wasiojulikana.
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu unaonekana u mjinga kupindukia. Wewe si lolote na si chochote kwa kila kitu kuihusu Simba. Usiweke misimamo yako ya kisiasa kwenye mambo usiyokuwa na uwezo nayo. Kikubwa unachoweza kufanya ni kuacha kuishabikia simba kama kweli hapo awali ulikuwa na mapenzi nayo.Mkataba wako MO Dewji na klabu ya Simba haukuhusisha kutuletea kwenye timu watu upendao/wanaokushinikiza ili wawe sehemu ya timu.
Huwezi kumleta Paulo Makonda ndani ya timu yetu hata kidogo. Makonda ana tuhuma nyingi zinazo gusa maisha ya watu jee kama watu wenye mahusiano na walio umizwa kama ni wanachama au washabiki wa Simba wanajisikiaje?
Mtu mwenye mikono michafu juu ya maisha ya watu anasababu gani kuingizwa timu ya Simba? Unataka kuigeuza Simba ionekane sio Klabu ya burudani na michezo bali ya maumivu na mateso kwa watu?
Hatutaki, hatutaki. Kwanza ushauri katika nini atafit kuutoa huyo? Kila jambo anafeli na kuharibu ndio aje Simba?
Sasa bora tuwashawishi wachezaji wapoteze mechi mbili za Alliance na Coastal ili kukuonyesha hatumtaki Bashite. Au kushawishi mechi ya kesho kuzomewa timu kwa jina LA Bashite hadi utakapo tengua maamuzi hayo yenye mrengo wa siasa, maana pengine umelazimishwa tuu kufanya hivyo na Wasiojulikana.
Sent using Jamii Forums mobile app
Hivi kwa akili yako finyu Makonda anashauri nini kwenye mpira?msiompenda Makonda kupewa nafasi ya ushari mhame timu, nenda mkashabikie Dar yanga Africa, mnatoa hoja za milengo ya kisiasa badala ya uhalisia wa mtu kwenye nafasi aliyopewa. mara kaua, mara ana mkono wa damu! what!?? nyie mmeuwa wangapi? wengine mmeshirikiana kuharibu mimba kibao na wapenzi wenu kwani huko sio kuua! nyambafu.. fanya kazi makonda tuko nyuma yako...
Hizo ni chuki zako binafs mkuu cc wanasimba tunaunga mkono boss mo alichoamuaMkataba wako MO Dewji na klabu ya Simba haukuhusisha kutuletea kwenye timu watu upendao/wanaokushinikiza ili wawe sehemu ya timu.
Huwezi kumleta Paulo Makonda ndani ya timu yetu hata kidogo. Makonda ana tuhuma nyingi zinazo gusa maisha ya watu jee kama watu wenye mahusiano na walio umizwa kama ni wanachama au washabiki wa Simba wanajisikiaje?
Mtu mwenye mikono michafu juu ya maisha ya watu anasababu gani kuingizwa timu ya Simba? Unataka kuigeuza Simba ionekane sio Klabu ya burudani na michezo bali ya maumivu na mateso kwa watu?
Hatutaki, hatutaki. Kwanza ushauri katika nini atafit kuutoa huyo? Kila jambo anafeli na kuharibu ndio aje Simba?
Sasa bora tuwashawishi wachezaji wapoteze mechi mbili za Alliance na Coastal ili kukuonyesha hatumtaki Bashite. Au kushawishi mechi ya kesho kuzomewa timu kwa jina LA Bashite hadi utakapo tengua maamuzi hayo yenye mrengo wa siasa, maana pengine umelazimishwa tuu kufanya hivyo na Wasiojulikana.
Sent using Jamii Forums mobile app
Yani thenge kweli.Hilo tajiri ni zuzu tu linashobokea viongozi tu
Na tupigwe tu
Kulikuwa na wanasiasa ndani ya Simba toka enzi na enzi labda wewe ndio haujui mbwiga toka porini.Mkuu unaonekana u mjinga kupindukia. Wewe si lolote na si chochote kwa kila kitu kuihusu Simba. Usiweke misimamo yako ya kisiasa kwenye mambo usiyokuwa na uwezo nayo. Kikubwa unachoweza kufanya ni kuacha kuishabikia simba kama kweli hapo awali ulikuwa na mapenzi nayo.
Mo ndo mwenye timu kwa sasa wengine wote tunabaki kama mashabiki tu. Hatuna mchango wowote popote ukiacha viingilio vyetu mpirani ambavyo havitoshi kwa chochote. AU UNATAKA WASHAURI WA MO KWENYE TIMU WAPIGIWE KURA?
Ungekuwa ni chochote kwa Simba wala usingeleta ujinga wako hapa, ungepeleka hayo mawazo yako kwenye vikao husika vyenye maamuzi. Ni kweli pia kwamba sikujui lakini dalili zote zinaonesha wewe ni mmoja kati ya kajambanani wasio nyuma wala mbele waliojazana mitaani. Kutwa kucha kulalamika tu. Nakushauri ANZISHA TIMU YAKO HALAFU MAKONDA NA WOTE USIOWAPENDA WASIRUHUSIWE HATA KUJA MPIRANI SIKU INACHEZA. Vinginevyo acha mmiliki wa timu atimize yanayompasa kufanya kwa mjibu wa taratibu.Kulikuwa na wanasiasa ndani ya Simba toka enzi na enzi labda wewe ndio haujui mbwiga toka porini.
Walikuwepo kina Profesa Sarungi, Profesa Kapuya na wapo wengine tuu kama Majaliwa nk. Lakini kwa nini hao wote hakuna anayepigiwa kelele zaidi ya hilo tutusa Bashite?
We bisha tuu, lakini hili utaliona mwisho wake. Makonda hawezi kuwa kwenye timu yetu.
Unaposema mie sio kitu kwa Simba unanijua au unaendekeza upumbavu wako tuu?
Sent using Jamii Forums mobile app