Simba Tufungwe Mechi 2 Mfululizo, Salam kwa MO Kutuletea Makonda

Simba Tufungwe Mechi 2 Mfululizo, Salam kwa MO Kutuletea Makonda

Mkataba wako MO Dewji na klabu ya Simba haukuhusisha kutuletea kwenye timu watu upendao/wanaokushinikiza ili wawe sehemu ya timu.
Huwezi kumleta Paulo Makonda ndani ya timu yetu hata kidogo. Makonda ana tuhuma nyingi zinazo gusa maisha ya watu jee kama watu wenye mahusiano na walio umizwa kama ni wanachama au washabiki wa Simba wanajisikiaje?
Mtu mwenye mikono michafu juu ya maisha ya watu anasababu gani kuingizwa timu ya Simba? Unataka kuigeuza Simba ionekane sio Klabu ya burudani na michezo bali ya maumivu na mateso kwa watu?
Hatutaki, hatutaki. Kwanza ushauri katika nini atafit kuutoa huyo? Kila jambo anafeli na kuharibu ndio aje Simba?
Sasa bora tuwashawishi wachezaji wapoteze mechi mbili za Alliance na Coastal ili kukuonyesha hatumtaki Bashite. Au kushawishi mechi ya kesho kuzomewa timu kwa jina LA Bashite hadi utakapo tengua maamuzi hayo yenye mrengo wa siasa, maana pengine umelazimishwa tuu kufanya hivyo na Wasiojulikana.

Sent using Jamii Forums mobile app
Hiyo timu ni ya Mwamedi..nyie mnachoweza ama mshabikie ama mmmbbakie na sonono..

Mtamkumbuka mzee Kilomoni...

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Yaani Simba yetu wanaigeuza timu ya wauaji? Hii yote Manara anahusika, lazima mchongo huo umeanzia kwake. Na si unajua kuwa Manara aliwahi kuwa msemaji wa CCM Dar kabla hajafukuzwa kwa wizi na MO keshawahi kuwa mbunge wa CCM akaacha kugombea baada ya kujua Wanyaturu hawataki tena mambo ya kugawiwa sukari kg mojamoja!

Sent using Jamii Forums mobile app
Screenshot_20200117-074714_Instagram.jpg
 
Hawa wanataka kutuharibia chama letu,wote waharifu waliojificha katika soka.
 
Asalale! Lazima kashafanya umafia wake tena kwa Mo. Hapo Mo kalazimishwa.
Makonda ni mhuni mmoja na mtu hatari.
 
Mkataba wako MO Dewji na klabu ya Simba haukuhusisha kutuletea kwenye timu watu upendao/wanaokushinikiza ili wawe sehemu ya timu.
Huwezi kumleta Paulo Makonda ndani ya timu yetu hata kidogo. Makonda ana tuhuma nyingi zinazo gusa maisha ya watu jee kama watu wenye mahusiano na walio umizwa kama ni wanachama au washabiki wa Simba wanajisikiaje?
Mtu mwenye mikono michafu juu ya maisha ya watu anasababu gani kuingizwa timu ya Simba? Unataka kuigeuza Simba ionekane sio Klabu ya burudani na michezo bali ya maumivu na mateso kwa watu?
Hatutaki, hatutaki. Kwanza ushauri katika nini atafit kuutoa huyo? Kila jambo anafeli na kuharibu ndio aje Simba?
Sasa bora tuwashawishi wachezaji wapoteze mechi mbili za Alliance na Coastal ili kukuonyesha hatumtaki Bashite. Au kushawishi mechi ya kesho kuzomewa timu kwa jina LA Bashite hadi utakapo tengua maamuzi hayo yenye mrengo wa siasa, maana pengine umelazimishwa tuu kufanya hivyo na Wasiojulikana.

Sent using Jamii Forums mobile app
Haya mawazo yapeleke pale mavicha yatawafaa sana

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Naiona hatari ya kutokea Simba CCM na Simba UKAWA..
 
Kwani Diva alisema akitaka kazi Wasafi atamtafuta nani?
Hata Makonda kafanya hivo kwa Simba

Mwenye hisa nyingi ndo mmiliki mkuu... Nyie mnaojiita sijui wanachama, atatimuliwa mmojammoja na vihisa vyenu vya 0.01% kwa kila mwanachama mpaka muishe! Alaah!
 
Ungekuwa ni chochote kwa Simba wala usingeleta ujinga wako hapa, ungepeleka hayo mawazo yako kwenye vikao husika vyenye maamuzi. Ni kweli pia kwamba sikujui lakini dalili zote zinaonesha wewe ni mmoja kati ya kajambanani wasio nyuma wala mbele waliojazana mitaani. Kutwa kucha kulalamika tu. Nakushauri ANZISHA TIMU YAKO HALAFU MAKONDA NA WOTE USIOWAPENDA WASIRUHUSIWE HATA KUJA MPIRANI SIKU INACHEZA. Vinginevyo acha mmiliki wa timu atimize yanayompasa kufanya kwa mjibu wa taratibu.

We ni mpuuzi kumbe, nani kalalamika? Unajua nini kinaendelea kwenye club baada ya tangazo la MO alilotoa bila kuwa consult wenzake?
Unadhani 49% inampa mamlaka kufanya chochote hata Mshindo Msolwa makamu wake?
Usiyojuwa bora unyamaze

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sifurahishwagi na baadhi ya vitendo vya makonda ila katika ili sioni ubaya wowote he is a powerful person atakuza brand ya simba alafu kapewa ushauri mkuu sio member wa board watu mna catch feelings sana

Sent using Jamii Forums mobile app
Umezungumza vizuri sana, Cheo alichopata Makonda ni cha kujitolea tu.
Hana mshahala hapa SSC.
Hatii hasara yoyote.
Wala hahitaji chochote toka SSC.
Zaidi anataka kutoa mchango wake kwa timu bure kabisa.
Je sisi SSC hatuhitaji michango ya kujitolea ya wadau wa Simba ?
Kazi za kujitolea huwa hazikataliwagi.
Pia kumbukeni wahenga wanasema.
Adui wa Jana ni rafiki wa leo, na rafiki wa Jana, Leo ni adui."
Msimhukumu mtu miaka yote. Huenda ametubu kuliko Ninyi.
Tumwachie Mungu atuhukumu.
Amina



Sent using Jamii Forums mobile app
 
We ni mpuuzi kumbe, nani kalalamika? Unajua nini kinaendelea kwenye club baada ya tangazo la MO alilotoa bila kuwa consult wenzake?
Unadhani 49% inampa mamlaka kufanya chochote hata Mshindo Msolwa makamu wake?
Usiyojuwa bora unyamaze

Sent using Jamii Forums mobile app
[/QUOTE
Makamu wa Mo Mshindo Msola? Vipi tena mkuu? Acha kujimwambafai kwa usiyoyajua.
Mimi na wewe sote hatujui kinachoendelea kabla na hata baada ya tangazo la Mo. Wanaojua wanayo plat form ya kusemea, siyo humu. Na wakisema, hawaongei kwa kulalamika ili wapate support toka JF. Ngoja nikuache ulivyo.
 
Umezungumza vizuri sana, Cheo alichopata Makonda ni cha kujitolea tu.
Hana mshahala hapa SSC.
Hatii hasara yoyote.
Wala hahitaji chochote toka SSC.
Zaidi anataka kutoa mchango wake kwa timu bure kabisa.
Je sisi SSC hatuhitaji michango ya kujitolea ya wadau wa Simba ?
Kazi za kujitolea huwa hazikataliwagi.
Pia kumbukeni wahenga wanasema.
Adui wa Jana ni rafiki wa leo, na rafiki wa Jana, Leo ni adui."
Msimhukumu mtu miaka yote. Huenda ametubu kuliko Ninyi.
Tumwachie Mungu atuhukumu.
Amina



Sent using Jamii Forums mobile app
Umewahi kuona Sheikh kawa mshauri wa kanisa hata Kama halipwi...


Kama unatumia akili ipasavyo utakuwa umenielewa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Umewahi kuona Sheikh kawa mshauri wa kanisa hata Kama halipwi...


Kama unatumia akili ipasavyo utakuwa umenielewa

Sent using Jamii Forums mobile app
Huu unaitwa mfano bomba! Watu sijui wanashindwa kuelewa nini!
Makonda aliyochochea huko jiji akayamalize na asipewe nafasi kuleta mitafaruku Simba.
Marehemu Ruge alimfanya Makonda rafiki na Clouds kukawa nyumbani kwake, nini alikuja kufanya baadae? Wamjuao huyo jamaa wanasema ndivyo alivyo ana mentality za kichawichawi yaani kila alipo lazima awachonganishe.
Ila habari za chini ya kapeti ni kuwa MO amekuwa blackmailed kutoa nafasi hiyo na si kwa hiari yake. Sasa wanasimba tumsaidieni kumsemea kuwa hatumtaki Makonda.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sema sitaki ,Mimi mwanachama wa simba naunga mkono tena ikibidi alete watu wengine influential kabisa Simba inapaswa kuwa taasisi ndani yake yenye watu maarufu kabisa ikibidi hata raisi wetu ,waziri mkuu ,makamu wa raisi wawe washauri wa SSC
Ndio maana Simba imeshashikwa na matapeli kwa reasoning ya aina yako.
Unadhani klabu ingekuwa makini watu wa aina hii wangekuwa na nafasi?
Tunakwenda mbele hatua 50 tunarudi 70
tapatalk_1579355123527.jpeg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom