Simba Tufungwe Mechi 2 Mfululizo, Salam kwa MO Kutuletea Makonda

...🤔🤔🤔.duh! ⚽⚽⚽
 
Acha unyang'au wew, japo mimi si mshabiki wa simba lakini kumleta bashite ni kujitakia laana katika club yenu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
hii inanikumbusha Taifa Stars ilivyokuwa kwenye AFCON finals mwaka jana..... Bashite alipojihusisha na timu 75% ya Watanzania walikuwa wana support timu (nchi) pinzani kila zinapocheza na Stars.

Simba naona kimeanza kunuka nako!!
 
Sema sitaki ,Mimi mwanachama wa simba naunga mkono tena ikibidi alete watu wengine influential kabisa Simba inapaswa kuwa taasisi ndani yake yenye watu maarufu kabisa ikibidi hata raisi wetu ,waziri mkuu ,makamu wa raisi wawe washauri wa SSC
Kwani wewe uko timamu??

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Tunamuonea huyu baba bure siku ya kuoigwa risasi kwa lissu hakuwa ddm kama mnavosema. Alikuwa kwenye kampeni ya Dar Afya chek ambayo na mimi nilikuwa nahudumu. Hapo hapana

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwa hivi sasa Club ya Simba ina mshauri mkuu ambaye anatambulika na Marekani kama gaidi anaye ua watu.
Timu yangu Simba tunakwama wapi?
Your browser is not able to display this video.


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…