Simba tujipange, Uto wamekamia kumalizia hasira yao tarehe 23/10/2022. Tawi la mwisho liteleze!

Simba tujipange, Uto wamekamia kumalizia hasira yao tarehe 23/10/2022. Tawi la mwisho liteleze!

mbingunikwetu

JF-Expert Member
Joined
Feb 17, 2015
Posts
13,897
Reaction score
18,477
Iko wazi kabisa kuwa Yanga wameshikwa pabaya! Tumaini lao lililobaki kwa mbali ni kutaka kufurahisha na kuwasahaulisha machungu ya kufurumushwa CAF Champions League kama kibaka fulan hivi, kwa kujaribu kuwafunga Simba.

Kwa mtazamo wa Yanga, kumfunga Simba ni kama kuchukua Kombe la Duinia, huwa wanacheza nje na ndani ya uwanja!

Simba tuwe macho tuwafunge, na hapo utazuka mgogoro hapo Jangwani!
 
Kama ikitokea Yanga akamfunga Simba, basi hayo yatakuwa ni matokeo ya kawaida kwenye mpira, na hiyo haitamaanisha Simba SC hajui, Simba anajua sana ndio maana anatambulika kimataifa kwa wakubwa wenzake, wakati hao Yanga wao ni wa hapa hapa.
 
Iko wazi kabisa kuwa yanga wameshikwa pabaya! tumaini lao lililobaki kwa mbali ni kutaka kufurahisha na kuwasahaulisha machungu ya kufurumshwa Caf champions league ka kibaka fulan hivi, kwa kujaribu kuwafunga Simba...
Mbona unahangaika kama kuku anayetaka kutaga una matatizo gani wewe, unafungua nyuzi kila baada ya dk chache na kwa bahati mbaya timu unayoizungumzia wala awana muda na wewe, umeshasema unakwenda kumfunga yanga pia baada ya kuwafunga ihefu ya angola sasa si utulie tusubilie utakavyoenda kushinda! Wasi wasi wako ni upi mbona atukuelewi
 
Mbona unahangaika kama kuku anayetaka kutaga una matatizo gani wewe, unafungua nyuzi kila baada ya dk chache na kwa bahati mbaya timu unayoizungumzia wala awana muda na wewe, umeshasema unakwenda kumfunga yanga pia baada ya kuwafunga ihefu ya angola sasa si utulie tusubilie utakavyoenda kushinda! Wasi wasi wako ni upi mbona atukuelewi
Makasiriko ya nn mkuu
 
Mbona unahangaika kama kuku anayetaka kutaga una matatizo gani wewe, unafungua nyuzi kila baada ya dk chache na kwa bahati mbaya timu unayoizungumzia wala awana muda na wewe, umeshasema unakwenda kumfunga yanga pia baada ya kuwafunga ihefu ya angola sasa si utulie tusubilie utakavyoenda kushinda! Wasi wasi wako ni upi mbona atukuelewi
Mbona umejibu sasa? Tuliza mshono huo mama
 
Iko wazi kabisa kuwa Yanga wameshikwa pabaya! Tumaini lao lililobaki kwa mbali ni kutaka kufurahisha na kuwasahaulisha machungu ya kufurumushwa CAF Champions League kama kibaka fulan hivi, kwa kujaribu kuwafunga Simba...
Simba haiwezi kufungwa na Yanga chini ya Mgunda na Matora. Never
 
Mbona unahangaika kama kuku anayetaka kutaga una matatizo gani wewe, unafungua nyuzi kila baada ya dk chache na kwa bahati mbaya timu unayoizungumzia wala awana muda na wewe, umeshasema unakwenda kumfunga yanga pia baada ya kuwafunga ihefu ya angola sasa si utulie tusubilie utakavyoenda kushinda! Wasi wasi wako ni upi mbona atukuelewi
Punguza hasira Uto
Hapa ni sehemu ya burudani
 
Iko wazi kabisa kuwa Yanga wameshikwa pabaya! Tumaini lao lililobaki kwa mbali ni kutaka kufurahisha na kuwasahaulisha machungu ya kufurumushwa CAF Champions League kama kibaka fulan hivi, kwa kujaribu kuwafunga Simba.

Kwa mtazamo wa Yanga, kumfunga Simba ni kama kuchukua Kombe la Duinia, huwa wanacheza nje na ndani ya uwanja!

Simba tuwe macho tuwafunge, na hapo utazuka mgogoro hapo Jangwani!
Too late! Dozi yenu iko pale pale.
 
Mashabiki wa Simba tuko na presha ya kimataifa kwenye group stage,daby autupi presha tukishinda au tukifungwa sio issue sana,issue ni Simba apenye kwenda robo caf[emoji123]
 
Mbona unahangaika kama kuku anayetaka kutaga una matatizo gani wewe, unafungua nyuzi kila baada ya dk chache na kwa bahati mbaya timu unayoizungumzia wala awana muda na wewe, umeshasema unakwenda kumfunga yanga pia baada ya kuwafunga ihefu ya angola sasa si utulie tusubilie utakavyoenda kushinda! Wasi wasi wako ni upi mbona atukuelewi
Unateseka ukiwa wapi? Subiri sindano inyong'onyee!! Asante kwa povu!!
 
Sioni uwezekano wa Simba kufungwa kwa sasa.
Kwa wachezaji gani mkuu??
Kutolewa Champions League kwa Yanga usidhani Yanga ni Mchekea, utapigwa hadi ushangae.

Nachowakubali Yanga kwenye Dabi hawanaga utani, wanakiwasha ile mbaya.
 
Sawa acha iwe ivyo tukung'utwe baada ya hapo maisha yataendelea.

Simba kaingia makundi kavuna 1.4b,akivuka kwenda robo kuna 2.b.akivuka kwenda nusu 3.b.

Kusingekua na madili hayo [emoji115]hakika Simba wangekua na presha ya daby na presha ingekuwepo.
Uende robo!?..robo kilo au!!!?..na siku hizi wanajua mnawapulizia na kuwalisha sumu...mtapigwa za kutosha
 
Simba SC hana cha kuhofia na anaenda kwenye mchezo kama ilivyo michezo mingine. Na hata wanga wakishinda haitaondoa ukweli wa kuwa ndani ya miaka 24 hawajawahi kuingia makundi CAFCL.
 
Uende robo!?..robo kilo au!!!?..na siku hizi wanajua mnawapulizia na kuwalisha sumu...mtapigwa za kutosha
kawaida wala hatuogopi tushafungwa tano,tano maranyingi,tushazowea hatuogopi ndo maana leo hii tupo makundi champions na kwenye rank ya caf tupo 11[emoji123]

nyinyi mpo wapi Evic town au Kidimbwi[emoji23][emoji28]
 
kawaida wala hatuogopi tushafungwa tano,tano maranyingi,tushazowea hatuogopi ndo maana leo hii tupo makundi champions na kwenye rank ya caf tupo 11[emoji123]

nyinyi mpo wapi Evic town au Kidimbwi[emoji23][emoji28]
Rank huja na kupita..j2 utajua tuko wapi
 
Back
Top Bottom