kha,,wewe wa wapi!.Simba anabeba ubingwa back to back misimu minne ulikua wapi,Simba anafika robo caf marambili ulikua wapi.nani anaongoza ligi mpaka sasa,,Loh,,!
sasahivi nani anaelekea kukuna nazi nyumbani kati ya Simba na Yanga.Yanga akitatolewa champions kabaki Simba tu wewe huna habari mpaka sasa.kha,,!
Yanga anamechi mbili za kuamua hatma yake akitolewa huko anabaki nyumbani kumpikia mumewe Simba.
Simba anamechi sita group stage,point tisa zinabaki pale kwa Mkapa hatoki mtu, away tunavuna point tatu kwenye mechi moja wapo au point mbili za droo,kazi kwisha haooooooooo quatal final.
awaamini macho yaooo[emoji444],,,,,pelepetepetepete,,,awaamini macho yaoooooo.[emoji445][emoji350] [emoji118] kispika cha Ahmed Ally ichoo.[emoji23][emoji28]