Simba tujipange, Uto wamekamia kumalizia hasira yao tarehe 23/10/2022. Tawi la mwisho liteleze!

Simba tujipange, Uto wamekamia kumalizia hasira yao tarehe 23/10/2022. Tawi la mwisho liteleze!

Iko wazi kabisa kuwa Yanga wameshikwa pabaya! Tumaini lao lililobaki kwa mbali ni kutaka kufurahisha na kuwasahaulisha machungu ya kufurumushwa CAF Champions League kama kibaka fulan hivi, kwa kujaribu kuwafunga Simba.

Kwa mtazamo wa Yanga, kumfunga Simba ni kama kuchukua Kombe la Duinia, huwa wanacheza nje na ndani ya uwanja!

Simba tuwe macho tuwafunge, na hapo utazuka mgogoro hapo Jangwani!
Hahahaha
 
Iyo rank ya kuja na kupita mshawai kukaa mwaka gani hata top 20 tu,au ndo kujikaza kisabuni?J'pili mnakula 3-0,Mgunda anawajua vizuri nje na ndani ya uwanja.
Zahera mliyempa kazi benchi la ufundi anatoa uhakika wa 100% mtakung'utwa j'pili.
Zamaleki alikua bingwa caf 2002,akapotea kwa miaka zaidi ya 15,rank suala la kupita tu,na ukazane ufike mbali ili mwakani ucheze klab bingwa Tena,la sivyo utakuna Nazi nyumbani wakati yanga akicheza klabu bingwa na Azam shirikisho,maana timu ya kuchukia NBC huna
 
Kama ikitokea Yanga akamfunga Simba, basi hayo yatakuwa ni matokeo ya kawaida kwenye mpira, na hiyo haitamaanisha Simba SC hajui, Simba anajua sana ndio maana anatambulika kimataifa kwa wakubwa wenzake, wakati hao Yanga wao ni wa hapa hapa.
Dah wa hapa hapa mchangani
 
Zamaleki alikua bingwa caf 2002,akapotea kwa miaka zaidi ya 15,rank suala la kupita tu,na ukazane ufike mbali ili mwakani ucheze klab bingwa Tena,la sivyo utakuna Nazi nyumbani wakati yanga akicheza klabu bingwa na Azam shirikisho,maana timu ya kuchukia NBC huna
kha,,wewe wa wapi!.Simba anabeba ubingwa back to back misimu minne ulikua wapi,Simba anafika robo caf marambili ulikua wapi.nani anaongoza ligi mpaka sasa,,Loh,,!

sasahivi nani anaelekea kukuna nazi nyumbani kati ya Simba na Yanga.Yanga akitatolewa champions kabaki Simba tu wewe huna habari mpaka sasa.kha,,!

Yanga anamechi mbili za kuamua hatma yake akitolewa huko anabaki nyumbani kumpikia mumewe Simba.

Simba anamechi sita group stage,point tisa zinabaki pale kwa Mkapa hatoki mtu, away tunavuna point tatu kwenye mechi moja wapo au point mbili za droo,kazi kwisha haooooooooo quatal final.

awaamini macho yaooo[emoji444],,,,,pelepetepetepete,,,awaamini macho yaoooooo.[emoji445][emoji350] [emoji118] kispika cha Ahmed Ally ichoo.[emoji23][emoji28]
 
kha,,wewe wa wapi!.Simba anabeba ubingwa back to back misimu minne ulikua wapi,Simba anafika robo caf marambili ulikua wapi.nani anaongoza ligi mpaka sasa,,Loh,,!

sasahivi nani anaelekea kukuna nazi nyumbani kati ya Simba na Yanga.Yanga akitatolewa champions kabaki Simba tu wewe huna habari mpaka sasa.kha,,!

Yanga anamechi mbili za kuamua hatma yake akitolewa huko anabaki nyumbani kumpikia mumewe Simba.

Simba anamechi sita group stage,point tisa zinabaki pale kwa Mkapa hatoki mtu, away tunavuna point tatu kwenye mechi moja wapo au point mbili za droo,kazi kwisha haooooooooo quatal final.

awaamini macho yaooo[emoji444],,,,,pelepetepetepete,,,awaamini macho yaoooooo.[emoji445][emoji350] [emoji118] kispika cha Ahmed Ally ichoo.[emoji23][emoji28]
Kwani mbali!
 
Kwa wachezaji gani mkuu??
Kutolewa Champions League kwa Yanga usidhani Yanga ni Mchekea, utapigwa hadi ushangae.

Nachowakubali Yanga kwenye Dabi hawanaga utani, wanakiwasha ile mbaya.
Ndo upuuzi wa hyo timu yenu. Mtaendelea kusugua benchi kwa Jubilei ya miaka mpk mje muingie makundi tena.
 
kha,,wewe wa wapi!.Simba anabeba ubingwa back to back misimu minne ulikua wapi,Simba anafika robo caf marambili ulikua wapi.nani anaongoza ligi mpaka sasa,,Loh,,!

sasahivi nani anaelekea kukuna nazi nyumbani kati ya Simba na Yanga.Yanga akitatolewa champions kabaki Simba tu wewe huna habari mpaka sasa.kha,,!

Yanga anamechi mbili za kuamua hatma yake akitolewa huko anabaki nyumbani kumpikia mumewe Simba.

Simba anamechi sita group stage,point tisa zinabaki pale kwa Mkapa hatoki mtu, away tunavuna point tatu kwenye mechi moja wapo au point mbili za droo,kazi kwisha haooooooooo quatal final.

awaamini macho yaooo[emoji444],,,,,pelepetepetepete,,,awaamini macho yaoooooo.[emoji445][emoji350] [emoji118] kispika cha Ahmed Ally ichoo.[emoji23][emoji28]
Baelezeee baelezeee
 
Iko wazi kabisa kuwa Yanga wameshikwa pabaya! Tumaini lao lililobaki kwa mbali ni kutaka kufurahisha na kuwasahaulisha machungu ya kufurumushwa CAF Champions League kama kibaka fulan hivi, kwa kujaribu kuwafunga Simba.

Kwa mtazamo wa Yanga, kumfunga Simba ni kama kuchukua Kombe la Duinia, huwa wanacheza nje na ndani ya uwanja!

Simba tuwe macho tuwafunge, na hapo utazuka mgogoro hapo Jangwani!
Ni kawaida ya vitimu vidogo kukamia mechi,huwezi.kuwazuia.
Cha muhimu kwa sasa Simba ni kuangalia maandalizi ya mechi za kimataifa.
Hawa akina prisos,sijui yanga wataendelea kukamia tu
 
Iko wazi kabisa kuwa Yanga wameshikwa pabaya! Tumaini lao lililobaki kwa mbali ni kutaka kufurahisha na kuwasahaulisha machungu ya kufurumushwa CAF Champions League kama kibaka fulan hivi, kwa kujaribu kuwafunga Simba.

Kwa mtazamo wa Yanga, kumfunga Simba ni kama kuchukua Kombe la Duinia, huwa wanacheza nje na ndani ya uwanja!

Simba tuwe macho tuwafunge, na hapo utazuka mgogoro hapo Jangwani!
Najua tutacheza na majini uwezo wa wao kushinda haupo.
 
Iko wazi kabisa kuwa Yanga wameshikwa pabaya! Tumaini lao lililobaki kwa mbali ni kutaka kufurahisha na kuwasahaulisha machungu ya kufurumushwa CAF Champions League kama kibaka fulan hivi, kwa kujaribu kuwafunga Simba.

Kwa mtazamo wa Yanga, kumfunga Simba ni kama kuchukua Kombe la Duinia, huwa wanacheza nje na ndani ya uwanja!

Simba tuwe macho tuwafunge, na hapo utazuka mgogoro hapo Jangwani!
Hapa Wala hakuna Cha kujadili, Yanga anacheza na mteja wake, point 3 ziko pale.
 
Kwa uchawi waliofanya makolo watashinda hiyo siku au watadraw.Tunza komenti yangu Mimi ni Yanga lialia.
 
Hakuna namna Yanga anaweza kuifunga Simba ikiwa na ari kubwa! Mara nyingi game za Yanga intensity huwa chini lakini nahisi Mgunda ameprove kuwa ni masta wa kutega mitego ya mauaji.
 
Kwa wachezaji gani mkuu??
Kutolewa Champions League kwa Yanga usidhani Yanga ni Mchekea, utapigwa hadi ushangae.

Nachowakubali Yanga kwenye Dabi hawanaga utani, wanakiwasha ile mbaya.
Wachezaji walioifikisha Simba hatua ya Makundi.
 
Watu wamekariri kumbe matokeo ta derby ya kwny ligi kuu ndo yako hivi . Sasa hapo uteja wa simba uko wapi
Screenshot_20221020-205436_Instagram.jpg
 
Mi nlidhan sku hyo tunacheza na azam!!ok kumbe tunacheza na utopolo
 
Master mgunda HATA WAO WANAMJUA[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]hawana hamu naye yule mzee
 
Back
Top Bottom