Simba tukubali yanga hii inatisha

Umeandika Pumba. Kumbe Kuna watu HUMU Wana Akili za kipuuzi kama zako???????

Jamii forum IMEKUWA ya Hovyo sana kuwa na member kama nyie
 
Kombe letu ni feitoto tu kutokurudi yanga.
Fei toto hakuzuiwa na Simba kuichezea Yanga. Hayo ya kumzuia si tunayasikia kutoka kwa wanasheria, mameneja na familia yake? Simba isihusishwe, maana hata Azam imeacha kutajwa sasa inatajwa simba
 
Yanga ndio timu bora kwa Sasa Africa mashariki na Kati!!
Hutaki pita kule😀😀😀😀😀😀😀
Mwanafunzi hajisahihishii mtihani, anatakiwa asahihishiwe na mwalimu. Kwani CAF wanasema ni timu gani bora ukanda huu? 😁😁😁
 
Same old rhetoric. Hamna kingine?
 
Utopolo
 

Attachments

  • 48c1ab856c074fef923b047dc92192a8.mp4
    1.4 MB
Hatuna Simba kama wewe..ww ni jamii ya ya zinjathropus
 
Manara hakukosea kweli mnatisha harafu mko kombe la ma looser
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…