Simba tulieni! Mipango mingi ya ushidni ilikuwa inafeli kwa sababu ya Barbara, sasa Yanga kukiona

Simba tulieni! Mipango mingi ya ushidni ilikuwa inafeli kwa sababu ya Barbara, sasa Yanga kukiona

Mwishokambi

JF-Expert Member
Joined
Nov 23, 2020
Posts
390
Reaction score
1,425
Nawaambia wale wanaosikitika kuondoka kwa Barbara waache ujinga, huyo dada amesababisha miaka minne tushindwe kumfunga Yanga, kwa sababu akipewa mipango yeye anapuuza, anawaona watu wapigaji, wengi waliokuwa na mapenzi na Simba walikaa pembeni kwa sababu yake

Simba ilikuwa inatoa sare au kufungwa kwa sababu yake, Barbara ni mtendaji mzuri lkn ujuaji mwingi, amewakuta watu pale Simba alitakiwa ashirikiane nao ili kuleta mafanikio sio kuleta ubinafsi.

Maendeleo yalikuwa yanakwenda slow sana kwa sababu yake, Simba ni timu kubwa sana, yeyote atakaeondoka haiwezi kutuathiri, tunao watu pale wenye akili na mipango

Huyo Mo Dewji kila siku anatujambisha, mara nataka kujitoa mara nn sijui, shenzi type, subirini ss muione Simba mpya bila Barbra, mpira utapigwa na hakuna wa kuizuia Simba tena.

Tuiunge mkono timu yetu, huyo Barbra atuachie timu yetu.

Sent from my SM-F916B using JamiiForums mobile app
 
Nawaambia wale wanaosikitika kuondoka kwa Barba waache ujinga, huyo dada amesababisha miaka minne tushindwe kumfunga Yanga, kwa sababu akipewa mipango yeye anapuuza, anawaona watu wapigaji, wengi waliokuwa na mapenzi na Simba walikaa pembeni kwa sababu yake, Simba ilikuwa inatoa sare au kufungwa kwa sababu yake, Barbra ni mtendaji mzuri lkn ujuaji mwingi, amewakuta watu pale Simba alitakiwa ashirikiane nao ili kuleta mafanikio sio kuleta ubinafsi.

Maendeleo yalikuwa yanakwenda slow sana kwa sababu yake, Simba ni timu kubwa sana, yeyote atakaeondoka haiwezi kutuathiri, tunao watu pale wenye akili na mipango, huyo Mo Dewji kila siku anatujambisha, mara nataka kujitoa mara nn sijui, shenzi type, subirini ss muione Simba mpya bila Barbra, mpira utapigwa na hakuna wa kuizuia Simba tena.

Tuiunge mkono timu yetu, huyo Barbra atuachie timu yetu.

Sent from my SM-F916B using JamiiForums mobile app
Small mind syndrome
Unawaza kufunga milopolopo unasahau football business Iko kwenye continental
 
Kwamba Babra ndio alikuwa anamtuma Kibu Denis akose magoli?!

Wanangu nyongeni ganja msiogope polisi ila msile unga mtapoteza nafasi.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Ila Simba Ina mashabiki jamani dah!

Yaani mtu anajikuta mchambuziiiiiiiii, anajiona bonge la analyst kumbe matapwata tupu!

Hapo ukute mleta uzi hata kadi ya uanachama Hana.

Unapima maendeleo ya Simba kwa kuifunga Yanga. We Bure kabisa wewe.

Wapenzi wa Simba mjifunze kuwa na subra. Kinachowaponza nyinyi ni ujuaji maandazi na shida viongozi wenu wanawasikiliza. Hivi hadi leo mnaweza Simama hadharani mkasema sababu genuine zilizofanya mkafukuza wale makocha kina uchebe walioifanya Simba ing'are? Yaani nyie Simba ikitoka sure moja kesho hamumtaki kocha hata kama kawabeba vipi!!

Barbra jiondokee sista angu kapumzike lawana. Waachie na ujuaji wao. Wanaojua mpira watakuheshimu daima
 
Nawaambia wale wanaosikitika kuondoka kwa Barba waache ujinga, huyo dada amesababisha miaka minne tushindwe kumfunga Yanga, kwa sababu akipewa mipango yeye anapuuza, anawaona watu wapigaji, wengi waliokuwa na mapenzi na Simba walikaa pembeni kwa sababu yake, Simba ilikuwa inatoa sare au kufungwa kwa sababu yake, Barbra ni mtendaji mzuri lkn ujuaji mwingi, amewakuta watu pale Simba alitakiwa ashirikiane nao ili kuleta mafanikio sio kuleta ubinafsi.

Maendeleo yalikuwa yanakwenda slow sana kwa sababu yake, Simba ni timu kubwa sana, yeyote atakaeondoka haiwezi kutuathiri, tunao watu pale wenye akili na mipango, huyo Mo Dewji kila siku anatujambisha, mara nataka kujitoa mara nn sijui, shenzi type, subirini ss muione Simba mpya bila Barbra, mpira utapigwa na hakuna wa kuizuia Simba tena.

Tuiunge mkono timu yetu, huyo Barbra atuachie timu yetu.

Sent from my SM-F916B using JamiiForums mobile app
Yaani kwa kuwa Barbara alikuwa hatoi fungu kwa ajili ya waganga na fitna za kijinga ndio maana hafai kwako, wewe ni hasara kwa Simba na Taifa kwa ujumla.
 
Ila Simba Ina mashabiki jamani dah!

Yaani mtu anajikuta mchambuziiiiiiiii, anajiona bonge la analyst kumbe matapwata tupu!

Hapo ukute mleta uzi hata kadi ya uanachama Hana.

Unapima maendeleo ya Simba kwa kuifunga Yanga. We Bure kabisa wewe.

Wapenzi wa Simba mjifunze kuwa na subra. Kinachowaponza nyinyi ni ujuaji maandazi na shida viongozi wenu wanawasikiliza. Hivi hadi leo mnaweza Simama hadharani mkasema sababu genuine zilizofanya mkafukuza wale makocha kina uchebe walioifanya Simba ing'are? Yaani nyie Simba ikitoka sure moja kesho hamumtaki kocha hata kama kawabeba vipi!!

Barbra jiondokee sista angu kapumzike lawana. Waachie na ujuaji wao. Wanaojua mpira watakuheshimu daima
Alisikika lopolopo mmoja akibweka kama chizi
 
Back
Top Bottom