Ni kweli...Mashabiki wa simba walikua wanamuona Babra kama Malkia Elizabeth 😂
Akili zitawakaa sawa , we subiri,, japo wapigaji wameachiwa gap wapige hela😂🙆🏼♂️Bundi kashatua msimbazi,,Leo nimeona Leo timu imekuja uwanjani na bajaji..
Sasa nyie kilichobaki ni kumfukuza mwekezaji wenu zaidi najua hakuna,mlianza na Manara,sasa Barabara,kituo kinachofuata ni Mooo,na ndio kifo cha lunyasi😂Nawaambia wale wanaosikitika kuondoka kwa Barba waache ujinga, huyo dada amesababisha miaka minne tushindwe kumfunga Yanga, kwa sababu akipewa mipango yeye anapuuza, anawaona watu wapigaji, wengi waliokuwa na mapenzi na Simba walikaa pembeni kwa sababu yake, Simba ilikuwa inatoa sare au kufungwa kwa sababu yake, Barbra ni mtendaji mzuri lkn ujuaji mwingi, amewakuta watu pale Simba alitakiwa ashirikiane nao ili kuleta mafanikio sio kuleta ubinafsi.
Maendeleo yalikuwa yanakwenda slow sana kwa sababu yake, Simba ni timu kubwa sana, yeyote atakaeondoka haiwezi kutuathiri, tunao watu pale wenye akili na mipango, huyo Mo Dewji kila siku anatujambisha, mara nataka kujitoa mara nn sijui, shenzi type, subirini ss muione Simba mpya bila Barbra, mpira utapigwa na hakuna wa kuizuia Simba tena.
Tuiunge mkono timu yetu, huyo Barbra atuachie timu yetu.
Sent from my SM-F916B using JamiiForums mobile app
Acheni dharau Kwa Mtu aliyejitoa Kwa ajili ya timu hata kama alikuwa analipwa. Mlitaka timu iwe ya Ishirikina kama enzi za kukataa mpira Wenye rangi ya njano au nyekundu?Nawaambia wale wanaosikitika kuondoka kwa Barba waache ujinga, huyo dada amesababisha miaka minne tushindwe kumfunga Yanga, kwa sababu akipewa mipango yeye anapuuza, anawaona watu wapigaji, wengi waliokuwa na mapenzi na Simba walikaa pembeni kwa sababu yake, Simba ilikuwa inatoa sare au kufungwa kwa sababu yake, Barbra ni mtendaji mzuri lkn ujuaji mwingi, amewakuta watu pale Simba alitakiwa ashirikiane nao ili kuleta mafanikio sio kuleta ubinafsi.
Maendeleo yalikuwa yanakwenda slow sana kwa sababu yake, Simba ni timu kubwa sana, yeyote atakaeondoka haiwezi kutuathiri, tunao watu pale wenye akili na mipango, huyo Mo Dewji kila siku anatujambisha, mara nataka kujitoa mara nn sijui, shenzi type, subirini ss muione Simba mpya bila Barbra, mpira utapigwa na hakuna wa kuizuia Simba tena.
Tuiunge mkono timu yetu, huyo Barbra atuachie timu yetu.
Sent from my SM-F916B using JamiiForums mobile app
Hela zenywewe zipo wapi?Akili zitawakaa sawa , we subiri,, japo wapigaji wameachiwa gap wapige hela[emoji23][emoji2301]
Simba ilikuwepo kabla yake...namkubali ila hakuna mtu atakae kaa mahali milele maisha lazima yaendeleeeAaah wapi, mmepoteza mtu muhimu sana.
B ni mwanamke wa shoka aliondoa vibaraka na vichawa wa kijinga.
Nadiriki kusema aliondoa uswahili wa wazee walioitesa simba miaka nebda rudi.
Simba ilikaa kitaasisi sana.
Ombeni mpate mtu bora kama yeye.
Kwahyo huyo GSM ndo vikombe???Kuna namnamoja tu Simba anaweza kupata nafuu Kwa Yanga, Kumuondoa GSM kama Walivyo fanikiwa kumuondoa Manji kupitia Makonda.
Bila kuondoka GSM Simba ata waungane, wakusanyane, wajipange wataendelea kuteseka Kwa muda mrefu sana na vikombe wasahau kabisa.
Ila Simba Ina mashabiki jamani dah!
Yaani mtu anajikuta mchambuziiiiiiiii, anajiona bonge la analyst kumbe matapwata tupu!
Hapo ukute mleta uzi hata kadi ya uanachama Hana.
Unapima maendeleo ya Simba kwa kuifunga Yanga. We Bure kabisa wewe.
Wapenzi wa Simba mjifunze kuwa na subra. Kinachowaponza nyinyi ni ujuaji maandazi na shida viongozi wenu wanawasikiliza. Hivi hadi leo mnaweza Simama hadharani mkasema sababu genuine zilizofanya mkafukuza wale makocha kina uchebe walioifanya Simba ing'are? Yaani nyie Simba ikitoka sure moja kesho hamumtaki kocha hata kama kawabeba vipi!!
Barbra jiondokee sista angu kapumzike lawana. Waachie na ujuaji wao. Wanaojua mpira watakuheshimu daima
Kwahyo huyo GSM ndo vikombe???
Wanajitoa akiliNa anashidwa kuelewa kuwa hata round hii ilo kumbe hachukui[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Wanapanda basi moja na dada zao kama wanafunzi WA sekondariBundi kashatua msimbazi,,Leo nimeona Leo timu imekuja uwanjani na bajaji..
Au ndie alikua Anamuambia Manula asidake mishuti ya aziz k na mayeleKwamba Babra ndio alikuwa anamtuma Kibu Denis akose magoli?!
Wanangu nyongeni ganja msiogope polisi ila msile unga mtapoteza nafasi.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Wanapanda basi moja na dada zao kama wanafunzi WA sekondari
Kweliiiii😂Kuna namnamoja tu Simba anaweza kupata nafuu Kwa Yanga, Kumuondoa GSM kama Walivyo fanikiwa kumuondoa Manji kupitia Makonda.
Bila kuondoka GSM Simba ata waungane, wakusanyane, wajipange wataendelea kuteseka Kwa muda mrefu sana na vikombe wasahau kabisa.
Kwa hiyo sasa wataajiri mchawi au mwenye atatoa pesa kwa ajili ya mchawi😀Ni kweli alikuwa anagoma kutoa hela za kuwalipa wachawi