Simba tulieni! Mipango mingi ya ushidni ilikuwa inafeli kwa sababu ya Barbara, sasa Yanga kukiona

Simba tulieni! Mipango mingi ya ushidni ilikuwa inafeli kwa sababu ya Barbara, sasa Yanga kukiona

Kuna namnamoja tu Simba anaweza kupata nafuu Kwa Yanga, Kumuondoa GSM kama Walivyo fanikiwa kumuondoa Manji kupitia Makonda.
Bila kuondoka GSM Simba ata waungane, wakusanyane, wajipange wataendelea kuteseka Kwa muda mrefu sana na vikombe wasahau kabisa.
 
Nawaambia wale wanaosikitika kuondoka kwa Barba waache ujinga, huyo dada amesababisha miaka minne tushindwe kumfunga Yanga, kwa sababu akipewa mipango yeye anapuuza, anawaona watu wapigaji, wengi waliokuwa na mapenzi na Simba walikaa pembeni kwa sababu yake, Simba ilikuwa inatoa sare au kufungwa kwa sababu yake, Barbra ni mtendaji mzuri lkn ujuaji mwingi, amewakuta watu pale Simba alitakiwa ashirikiane nao ili kuleta mafanikio sio kuleta ubinafsi.

Maendeleo yalikuwa yanakwenda slow sana kwa sababu yake, Simba ni timu kubwa sana, yeyote atakaeondoka haiwezi kutuathiri, tunao watu pale wenye akili na mipango, huyo Mo Dewji kila siku anatujambisha, mara nataka kujitoa mara nn sijui, shenzi type, subirini ss muione Simba mpya bila Barbra, mpira utapigwa na hakuna wa kuizuia Simba tena.

Tuiunge mkono timu yetu, huyo Barbra atuachie timu yetu.

Sent from my SM-F916B using JamiiForums mobile app
Sasa nyie kilichobaki ni kumfukuza mwekezaji wenu zaidi najua hakuna,mlianza na Manara,sasa Barabara,kituo kinachofuata ni Mooo,na ndio kifo cha lunyasi😂
 
Nawaambia wale wanaosikitika kuondoka kwa Barba waache ujinga, huyo dada amesababisha miaka minne tushindwe kumfunga Yanga, kwa sababu akipewa mipango yeye anapuuza, anawaona watu wapigaji, wengi waliokuwa na mapenzi na Simba walikaa pembeni kwa sababu yake, Simba ilikuwa inatoa sare au kufungwa kwa sababu yake, Barbra ni mtendaji mzuri lkn ujuaji mwingi, amewakuta watu pale Simba alitakiwa ashirikiane nao ili kuleta mafanikio sio kuleta ubinafsi.

Maendeleo yalikuwa yanakwenda slow sana kwa sababu yake, Simba ni timu kubwa sana, yeyote atakaeondoka haiwezi kutuathiri, tunao watu pale wenye akili na mipango, huyo Mo Dewji kila siku anatujambisha, mara nataka kujitoa mara nn sijui, shenzi type, subirini ss muione Simba mpya bila Barbra, mpira utapigwa na hakuna wa kuizuia Simba tena.

Tuiunge mkono timu yetu, huyo Barbra atuachie timu yetu.

Sent from my SM-F916B using JamiiForums mobile app
Acheni dharau Kwa Mtu aliyejitoa Kwa ajili ya timu hata kama alikuwa analipwa. Mlitaka timu iwe ya Ishirikina kama enzi za kukataa mpira Wenye rangi ya njano au nyekundu?
 
Aaah wapi, mmepoteza mtu muhimu sana.
B ni mwanamke wa shoka aliondoa vibaraka na vichawa wa kijinga.
Nadiriki kusema aliondoa uswahili wa wazee walioitesa simba miaka nebda rudi.

Simba ilikaa kitaasisi sana.
Ombeni mpate mtu bora kama yeye.
Simba ilikuwepo kabla yake...namkubali ila hakuna mtu atakae kaa mahali milele maisha lazima yaendeleee
 
Ila Simba Ina mashabiki jamani dah!

Yaani mtu anajikuta mchambuziiiiiiiii, anajiona bonge la analyst kumbe matapwata tupu!

Hapo ukute mleta uzi hata kadi ya uanachama Hana.

Unapima maendeleo ya Simba kwa kuifunga Yanga. We Bure kabisa wewe.

Wapenzi wa Simba mjifunze kuwa na subra. Kinachowaponza nyinyi ni ujuaji maandazi na shida viongozi wenu wanawasikiliza. Hivi hadi leo mnaweza Simama hadharani mkasema sababu genuine zilizofanya mkafukuza wale makocha kina uchebe walioifanya Simba ing'are? Yaani nyie Simba ikitoka sure moja kesho hamumtaki kocha hata kama kawabeba vipi!!

Barbra jiondokee sista angu kapumzike lawana. Waachie na ujuaji wao. Wanaojua mpira watakuheshimu daima

Muelewe mleta mada yule CEO katufelisha sana huo ndo ukweli, angalia namna usajili ulivyofanywa!!!! Ivi kuna mtu anataka kulipa watu mishahara bila kazi yoyote???

Tuna wachezaji wangapi wqmesajiliwa msimu uliopita na hakuna kitu wanafanya wla uwanjani hawaingii? Huwoni iyo ni hasara kw club? Dada hii nafasi ni kubw sana kwake apewe nafasi nyingine ametutia hasara sana club!!!

Anazurura tu uko kwa watu mwanzo nilizani kuna kitu anataka kukileta kwa simba kipya na kitasaidi club kupitia ziara zake lakini ni upuuzi mtupu...!!! Kama atabaki sawa lakini sio CEO
 
Kuna namnamoja tu Simba anaweza kupata nafuu Kwa Yanga, Kumuondoa GSM kama Walivyo fanikiwa kumuondoa Manji kupitia Makonda.
Bila kuondoka GSM Simba ata waungane, wakusanyane, wajipange wataendelea kuteseka Kwa muda mrefu sana na vikombe wasahau kabisa.
Kweliiiii😂
 
Back
Top Bottom