Simba tuliwaambia hamna hatimiliki ya hiyo timu tena

Simba tuliwaambia hamna hatimiliki ya hiyo timu tena

Mm n shabiki wa yanga ila mashabiki walio wengi wa yanga n vilaza Sana

Mleta post timu yetu unaiona hali yake ilivyo unaona wenzetu leo wanapambana kucheza robo fainal ya champion league sisi timu yetu ambayo haijamilikiwa na mtu ipo wapi Sasa

Unatia kinyaa mkuu naumia walau na sisi angepatikana mtu Kama MO tungekuwa mbali Sana
Haha dahaaaaa
 
Yaan mmbebaki kuwa mavuvuzela wa Moo! Angalia sasa owner kama owner![emoji42][emoji42]View attachment 1742082
Katika hizi businesses unaweza kujikuta unajitutumua kuandika vi nyuzi kumbe uko chaka.

Models za ownership zipo nyingi. Kuna zenye owners zaidi ya kukiwa na principle owner(s) na shareholders.

Mfano nakupa.

Liverpool owner anaejulikana sana ni John Henry na Mike Gordon (Fenway Sports Group) kwakuwa wao ndio wamewekeza pesa nyingi zaidi (yaani wana share kubwa kwenye business) lakini kuna shareholders wengine maarufu zaidi akiwa ni LeBron James.

So unless unauhakika kuwa Mo ndio anamiliki shares za simba 100 percent usipende kukurupuka.

Mimi sijui.
 
Mm n shabiki wa yanga ila mashabiki walio wengi wa yanga n vilaza Sana

Mleta post timu yetu unaiona hali yake ilivyo unaona wenzetu leo wanapambana kucheza robo fainal ya champion league sisi timu yetu ambayo haijamilikiwa na mtu ipo wapi Sasa

Unatia kinyaa mkuu naumia walau na sisi angepatikana mtu Kama MO tungekuwa mbali Sana
Mkuu GSM si wapo?
 
Acha aimiliki mbona Roman Abramovich anaimiliki Chelsea ?

Hadi sasa mimi sijalipa hata buku kwa Simba Mo kalipa mishahara ya mamilioni ya pesa per month leo nishangae akimiliki timu?

Ninyi msiomilikiwa timu mbona mnatapatapa huko kigamboni?
 
Yaan mmbebaki kuwa mavuvuzela wa Moo! Angalia sasa owner kama owner![emoji42][emoji42]View attachment 1742082
Hata achukue kila kitu sie tunataka Simba ishinde tu nyie mgawane mbao na kero jiulize lini iliwahi tokea mkagawiwa hata senti tano tangu zianze acheni ujinga mnachotaka ni furaha tu na furaha ni matokeo

Sent from my Nokia 3.2 using JamiiForums mobile app
 
Kwa hiyo unataka kusema pesa zote zinaenda kwa Dewji...
 
Hatujali wala nini
officialpriscakishamba-___CNNy4w6Lmsz___-.jpg
 
DAH BASI UTOPOLO TUMEWAELEWA JAMENI TUNAMFUKUZA MO TUNAMPA TEAM MZEE AKILIMALI
 
***** zako, kwahio.ulitaka nani.awe mmiliki?! Mzee akilimali au mwakalebela ?

Endeleeni kupiga mayowe simba inachanja mbuga kama upepo..!
 
Back
Top Bottom