Raynavero
JF-Expert Member
- Apr 29, 2014
- 38,378
- 56,047
Haha dahaaaaaMm n shabiki wa yanga ila mashabiki walio wengi wa yanga n vilaza Sana
Mleta post timu yetu unaiona hali yake ilivyo unaona wenzetu leo wanapambana kucheza robo fainal ya champion league sisi timu yetu ambayo haijamilikiwa na mtu ipo wapi Sasa
Unatia kinyaa mkuu naumia walau na sisi angepatikana mtu Kama MO tungekuwa mbali Sana