Simba tumepoteana kuanzia kwa MO mpaka Mashabiki

Simba tumepoteana kuanzia kwa MO mpaka Mashabiki

bulabo

JF-Expert Member
Joined
Aug 20, 2015
Posts
628
Reaction score
780
Kauli ya MO jana kuwa “JUZI TUMEFUNGWA JANA TUKAFUNGWA MDOMO” hii imetuvuruga wana simba. Kila mwana simba anatapatapa.

1676983688010.png


Simba inahtaj kiongozi kama hanspope ambaye anaweza kutuliza hii hali ya hewa mbaya. Kesho tuna Azamni hatari kwa simba. Kupoteza na Azam ni upepo mubaya utakuja.

Simba watulie wafanye vitu professional waamini vijana kama kenedy, Phiri, Banda Lakini pia wanasimba tukubali siku chama akiwekwa benchi tuwe watulivu kama mashabiki wa Yanga aziz kukaa nje sio issue sisi Mungu mtu chama akikaa nje ni tatizo.

Hili ndio linalotutafuna kuamini chama ndio kila kitu kumbe kuna game zingine hazmuhtaji chama jamani.

Robertinho kesho anza na
Kakolanya
Israle, Kenedy, Inonga na Tshabalala
Kanoute, Mzamiru
Saido, Sakho, Kibu
Phiri
 
Simba inahtaj kiongozi kama hanspope ambaye anaweza kutuliza hii hali ya hewa mbaya.
Nadhani hukumjua Hanspope au umeamua kumsifia tu ili kumponda Mo. Hanspope alishawahi kusema atawapiga rungu Chama na Miquissone kwa kuwa ni wasaliti. Kabla ya hapo aliwahi kusema Shomari Kapombe anakula hela za bure maana kila mara anaumiaumia tu na hachezi

Sasa sijui mtu ambaye anawashambulia wapambanaji wa uwanjani ndio mtulizaji wa hali ya hewa au ni mvurugaji
 
Kauli ya MO jana kuwa “JUZI TUMEFUNGWA JANA TUKAFUNGWA MDOMO” hii imetuvuruga wana simba. Kila mwana simba anatapatapa.

Simba inahtaj kiongozi kama hanspope ambaye anaweza kutuliza hii hali ya hewa mbaya. Kesho tuna Azamni hatari kwa simba. Kupoteza na Azam ni upepo mubaya utakuja.

Simba watulie wafanye vitu professional waamini vijana kama kenedy, Phiri, Banda Lakini pia wanasimba tukubali siku chama akiwekwa benchi tuwe watulivu kama mashabiki wa Yanga aziz kukaa nje sio issue sisi Mungu mtu chama akikaa nje ni tatizo.

Hili ndio linalotutafuna kuamini chama ndio kila kitu kumbe kuna game zingine hazmuhtaji chama jamani.

Robertinho kesho anza na
Kakolanya
Israle, Kenedy, Inonga na Tshabalala
Kanoute, Mzamiru
Saido, Sakho, Kibu
Phiri
Hicho kikosi uwapangie Azam FC ya kina Kipre Jr na Akamenko? mtalambwa 5G
 
Simba hata kama maumivu yatapoa kwa Azam lakini shida bado ipo pale pale msimu huu kwa sababu kuu tatu:-

1. Simba haina mshambuliaji makini wa kati kwa misimu miwili sasa. Boko aliwafunga Ruvu goli tatu basi kelele kuanzia kwa mashabiki maandazi , bodi ya wakurugenzi, viongozi mpaka MO mwenyewe kuwa Boko karudi upya. Kilichofuata sasa hata mpira wa kuugusa tu ubadili mwelekeo uingie golini hawezi kutokana na umri wake. Huyo Baleke baada ya kuwafunga sijui Dodoma au Singida kelele nyiingi na sifa kem kem mpaka masikio yamezidi kichwa. Mwambieni asisikilize sifa za nje ya uwanja afanye kazi yake uwanjani ufalme ataupata baada ya kumaliza kazi yake kama alivyopata mwenzake Kagere.

2. Kiungo mkabaji asili. Nikiona picha ya bodi ya wakurugenzi wa Simba wamekaa huwa najiuliza maswali hivi hawa jamaa wapo "serious" kweli au wanakaa kutimiza wajibu tu. Muzamiru na Kanoute sio viungo wakabaji asili huwa wanachezeshwa tu hiyo nafasi kwa sababau hakuna mbadala. Kwenye hiyo nafasi toka wameondoka watu wa kazi chafu Fraga na Tadeo Lwanga hakujawa na juhudi ya dhati ya kutafuta mtu sahihi wa hiyo nafasi. Sawadogo mpaka sasa bado hajaitendea haki hiyo nafasi ndio maana sasa hivi Simba mabeki wa kati Inonga na Onyango wanateseka sana na watateseka sana mpaka msimu uishe. Na sio lazima atafutwe mtu wa kazi chafu hata viungo mafundi wasio na fujo wenye uchezaji wa kutumia akili nyingi kama Majabvi au Mafisango watafutwe kama viungo wa kazi chafu hawapatikani.

3. Mo nae aache ubahili. Manzoki alikuwa anauzwa milioni 400 akachemka mwenzake GSM kalipa millioni 600 kwa Azizi K faida anaiona sasa. Mo sijui mfanyabiashara wa wapi ambaye kila siku unanunua wachezaji wa bei rahisi wa milioni 200 200 hata watatu sawa na millioni 600 halafu baada ya miezi 6 unawavunjia mikataba au kuwatoa kwa mkopo huku unawalipa mishahara. Sasa hiyo ni akili kweli si tayari umelipa 600 "indirectly" tena kwa hasara. Lipa millioni za kutosha kwa mchezaji mmoja wa uhakika halafu kaa pembeni tulia subiria matokeo. Nina hakika kama Mo angejilipua akatoa mpunga wa kutosha kwa Adebayor na Manzoki wote walitaka kuja Simba wenyewe basi Simba ingekuwa haikamatika pale mbele.

Hitimisho; Kaduguda ana cheti cha ukocha hata kama sio ngazi za juu sana na wakati fulani nilisoma mahali kuwa Magori naye anasomea ukocha na wote wapo kwenye bodi ya Simba, jee hawaoni kuwa tatizo kubwa pale Simba kwa sasa ni mshambuliaji wa kati na kiungo mkabaji asili kwa takribani misimu miwili sasa. Na je wamefanya juhudi gani kuisaidia bodi ya Simba ili ifanya maamuzi sahihi kwenye hizi nafasi mbili na timu nzima kwa ujumla au mawazo yao hayasikilizwi?
 
Kauli ya MO jana kuwa “JUZI TUMEFUNGWA JANA TUKAFUNGWA MDOMO” hii imetuvuruga wana simba. Kila mwana simba anatapatapa.

Simba inahtaj kiongozi kama hanspope ambaye anaweza kutuliza hii hali ya hewa mbaya. Kesho tuna Azamni hatari kwa simba. Kupoteza na Azam ni upepo mubaya utakuja.

Simba watulie wafanye vitu professional waamini vijana kama kenedy, Phiri, Banda Lakini pia wanasimba tukubali siku chama akiwekwa benchi tuwe watulivu kama mashabiki wa Yanga aziz kukaa nje sio issue sisi Mungu mtu chama akikaa nje ni tatizo.

Hili ndio linalotutafuna kuamini chama ndio kila kitu kumbe kuna game zingine hazmuhtaji chama jamani.

Robertinho kesho anza na
Kakolanya
Israle, Kenedy, Inonga na Tshabalala
Kanoute, Mzamiru
Saido, Sakho, Kibu
Phiri

Shida ya Simba ni huyo MO. Unapeleka timu Dubai kwa gharama kubwa unaacha kusajili mshambuliaji wa maana? Simba ni Bora tushuke ili akili zikae vizuri. Tujifunze kwa Yanga kwenye uwekezaji wa timu. Sio maneno na kujifariji wakati unamtegemea John boko na sawadogo akutikishe nusu fainali.
 
Simba hata kama maumivu yatapoa kwa Azam lakini shida bado ipo pale pale msimu huu kwa sababu kuu tatu:-

1. Simba haina mshambuliaji makini wa kati kwa misimu miwili sasa. Boko aliwafunga Ruvu goli tatu basi kelele kuanzia kwa mashabiki maandazi , bodi ya wakurugenzi, viongozi mpaka MO mwenyewe kuwa Boko karudi upya. Kilichofuata sasa hata mpira wa kuugusa tu ubadili mwelekeo uingie golini hawezi kutokana na umri wake. Huyo Baleke baada ya kuwafunga sijui Dodoma au Singida kelele nyiingi na sifa kem kem mpaka masikio yamezidi kichwa. Mwambieni asisikilize sifa za nje ya uwanja afanye kazi yake uwanjani ufalme ataupata baada ya kumaliza kazi yake kama alivyopata mwenzake Kagere.

2. Kiungo mkabaji asili. Nikiona picha ya bodi ya wakurugenzi wa Simba wamekaa huwa najiuliza maswali hivi hawa jamaa wapo "serious" kweli au wanakaa kutimiza wajibu tu. Muzamiru na Kanoute sio viungo wakabaji asili huwa wanachezeshwa tu hiyo nafasi kwa sababau hakuna mbadala. Kwenye hiyo nafasi toka wameondoka watu wa kazi chafu Fraga na Tadeo Lwanga hakujawa na juhudi ya dhati ya kutafuta mtu sahihi wa hiyo nafasi. Sawadogo mpaka sasa bado hajaitendea haki hiyo nafasi ndio maana sasa hivi Simba mabeki wa kati Inonga na Onyango wanateseka sana na watateseka sana mpaka msimu uishe. Na sio lazima atafutwe mtu wa kazi chafu hata viungo mafundi wasio na fujo wenye uchezaji wa kutumia akili nyingi kama Majabvi au Mafisango watafutwe kama viungo wa kazi chafu hawapatikani.

3. Mo nae aache ubahili. Manzoki alikuwa anauzwa milioni 400 akachemka mwenzake GSM kalipa millioni 600 kwa Azizi K faida anaiona sasa. Mo sijui mfanyabiashara wa wapi ambaye kila siku unanunua wachezaji wa bei rahisi wa milioni 200 200 hata watatu sawa na millioni 600 halafu baada ya miezi 6 unawavunjia mikataba au kuwatoa kwa mkopo huku unawalipa mishahara. Sasa hiyo ni akili kweli si tayari umelipa 600 "indirectly" tena kwa hasara. Lipa millioni za kutosha kwa mchezaji mmoja wa uhakika halafu kaa pembeni tulia subiria matokeo. Nina hakika kama Mo angejilipua akatoa mpunga wa kutosha kwa Adebayor na Manzoki wote walitaka kuja Simba wenyewe basi Simba ingekuwa haikamatika pale mbele.

Hitimisho; Kaduguda ana cheti cha ukocha hata kama sio ngazi za juu sana na wakati fulani nilisoma mahali kuwa Magori naye anasomea ukocha na wote wapo kwenye bodi ya Simba, jee hawaoni kuwa tatizo kubwa pale Simba kwa sasa ni mshambuliaji wa kati na kiungo mkabaji asili kwa takribani misimu miwili sasa. Na je wamefanya juhudi gani kuisaidia bodi ya Simba ili ifanya maamuzi sahihi kwenye hizi nafasi mbili na timu nzima kwa ujumla au mawazo yao hayasikilizwi?

Hongera mkuu, wasipokuelewa sawa. Tunasajili bila malengo.
 
Back
Top Bottom