Hao viongozi ni sikio la kufa msimu uliopita waliwasha moto uwanjani South wakati watu wengi Afrika walikuwa wanaitazama Simba kama timu fulani iliyokuwa inayokuja juu Afrika na kutikisa vigogo wa soka wa Afrika huku ikisifiwa kwa aina yake ya kandakanda. Wao wakaiharibu hiyo sifa baada ya kuingiza mambo ya kijinga kabisa ya kishirikina tena hadharani mbele ya kamera kibao za TV.Simba Kuna ujinga mwingi mpaka inaboa. Watu baadala ya kuwekeza kwa kikosi Cha maana wanawaza uswahili tu. Waliniboa sana