Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
Mambo mengine ni ya kitaifa tuHapo ndio umenishinda tabia
Unguja tulifuata utaratibu tu ambao ulikua unatulazimu tupeleke kikosi na ndio maana management tuka kaa chini na kuamua tupeleke kikosi Bhadithi ya sungura sizitaki hizi mbichi,unguja mlifuata nini
Huu ni ujumbe mahususi kwa Mashabiki wa soka nchini Tanzania , tunafahamu furaha ya Yanga ( Kipofu kaona mwezi ) , lakini sisi Simba tunalenga michuano ya CAF champions League tu .
Sitaki maswali .
Nimecheka sana !15M zawadi ya ubingwa mshahara wa Chama
Maneno ya mkosaji na mfa maji hayo15M zawadi ya ubingwa mshahara wa Chama
UNATESEKA UKIWA OFISI IPI YA MWAKEDI BOSS?Unguja tulifuata utaratibu tu ambao ulikua unatulazimu tupeleke kikosi na ndio maana management tuka kaa chini na kuamua tupeleke kikosi B..\
Angalia line up ya mechi ya klabu bingwa ndio ujue ni mchezaji mmoja tu alikuwepo zanzibar kati ya walioanza!Yanga Azam nk Kama hawana umuhimu wanachezesha kikosi Cha pili au vijana kuwapa uzoefu.sasa mibabu Ile Onyango,Kagere huku wakiwa wamechanganyikiwa kukosa penalty.sema paka ameshindwa majukukumu.
Sent from my Infinix X650B using JamiiForums mobile app
Ujue walijuta kuwapeleka Likizo kina Chama, na Louis.....Yanga Azam nk Kama hawana umuhimu wanachezesha kikosi Cha pili au vijana kuwapa uzoefu.sasa mibabu Ile Onyango,Kagere huku wakiwa wamechanganyikiwa kukosa penalty.sema paka ameshindwa majukukumu.
Sent from my Infinix X650B using JamiiForums mobile app
Mapaka FC!Huu ni ujumbe mahususi kwa Mashabiki wa soka nchini Tanzania , tunafahamu furaha ya Yanga ( Kipofu kaona mwezi ) , lakini sisi Simba tunalenga michuano ya CAF champions League tu .
Sitaki maswali .
Kwenye Simba na Yanga hatuangaliagi hayo bali ushindi.Angalia line up ya mechi ya klabu bingwa ndio ujue ni mchezaji mmoja tu alikuwepo zanzibar kati ya walioanza!