Simba tunaangalia zaidi michuano ya kimataifa , Mapinduzi cup haikuwa kipaumbele

Simba tunaangalia zaidi michuano ya kimataifa , Mapinduzi cup haikuwa kipaumbele

Hongereni timu ya Yanga kwa kupata furaha leo.
Najua amtalala usiku wa leo kwa ushindi wa milioni 15 sawa na ist moja new model,spark plag nne na galoni la lita10 za Oil ya kufanyia service.
 
Unguja tulifuata utaratibu tu ambao ulikua unatulazimu tupeleke kikosi na ndio maana management tuka kaa chini na kuamua tupeleke kikosi B

Tunafunga mziki kulingana na ukubwa wa shughuli, mziki wa kipaimara ni tofauti na mziki tunaofunga kwenye harusi

mlitaka kile kikosi cha 4-1 tukilete hapo unguja kwa thamani gani ya kombe?
Minyau katika ubora wao
 
Hongereni timu ya Yanga kwa kupata furaha leo.
Najua amtalala usiku wa leo kwa ushindi wa milioni 15 sawa na ist moja new model,spark plag nne na galoni la lita10 za Oil ya kufanyia service.
Hata kama ni friend game lkn , Simba shoot on target 0 , dk 90 kikoc kipanaa
 
Hata kama ni friend game lkn , Simba shoot on target 0 , dk 90 kikoc kipanaa
Simba aijapoteza wala Uto amjapata la maana.akuna lenk yoyote mliyopanda kwenye hii ndondo.
pesa ndo izo em -15 mtatumiwa kwenye tigo pesa zitawasaidia sabuni ya kufulia jezi.
 
Huu ni ujumbe mahususi kwa Mashabiki wa soka nchini Tanzania , tunafahamu furaha ya Yanga ( Kipofu kaona mwezi ) , lakini sisi Simba tunalenga michuano ya CAF champions League tu .

Sitaki maswali .
Atakama lakini no shot on target braza!
 
Simba aijapoteza wala Uto amjapata la maana.akuna lenk yoyote mliyopanda kwenye hii ndondo.
pesa ndo izo em -15 mtatumiwa kwenye tigo pesa zitawasaidia sabuni ya kufulia jezi.
Maumivu ya kazidi kamuone daktari, Simba imefungwa over.
 
Unguja tulifuata utaratibu tu ambao ulikua unatulazimu tupeleke kikosi na ndio maana management tuka kaa chini na kuamua tupeleke kikosi B

Tunafunga mziki kulingana na ukubwa wa shughuli, mziki wa kipaimara ni tofauti na mziki tunaofunga kwenye harusi

mlitaka kile kikosi cha 4-1 tukilete hapo unguja kwa thamani gani ya kombe?
Hao wote ni B?
 
Huu ni ujumbe mahususi kwa Mashabiki wa soka nchini Tanzania , tunafahamu furaha ya Yanga ( Kipofu kaona mwezi ) , lakini sisi Simba tunalenga michuano ya CAF champions League tu .

Sitaki maswali .
Ghafla umehamisha goli.
 
Simba aijapoteza wala Uto amjapata la maana.akuna lenk yoyote mliyopanda kwenye hii ndondo.
pesa ndo izo em -15 mtatumiwa kwenye tigo pesa zitawasaidia sabuni ya kufulia jezi.
Hapa hoja ni kumfunga Simba. Kwani nyie mlivyokuwa mnashinda mlikuwa mnalipwa shilingi ngapi?
 
Unguja tulifuata utaratibu tu ambao ulikua unatulazimu tupeleke kikosi na ndio maana management tuka kaa chini na kuamua tupeleke kikosi B

Tunafunga mziki kulingana na ukubwa wa shughuli, mziki wa kipaimara ni tofauti na mziki tunaofunga kwenye harusi

mlitaka kile kikosi cha 4-1 tukilete hapo unguja kwa thamani gani ya kombe?
Wachezaji wanalipwa bila kuangalia ukubwa wa mechi
 
Kifo hakikosi sababu tulia 📌 ikuingie vizuri tuliza wenge
 
Simba aijapoteza wala Uto amjapata la maana.akuna lenk yoyote mliyopanda kwenye hii ndondo.
pesa ndo izo em -15 mtatumiwa kwenye tigo pesa zitawasaidia sabuni ya kufulia jezi.
lenk ni nn mkuu?
 
Hongereni Utopolo...angalau mmepata cha kuwapa furaha.
 
Simba wamefaidika sana na hii michuano.
Kwanza wameweza kuangalia viwango vya wachezaji waliokuwa hawapati nafasi mara kwa mara.
Pili uwezo wa matola kama kocha akiachiwa timu umeonekana.
Tatu imeonekana haja ya kutafuta mkuu mapema
 
Kubali yaishe, bila hivyo hatuwaachi.
"SIMBA MMEFUNGWA NA YANGA"
 
Back
Top Bottom