NAWATAFUNA
JF-Expert Member
- Nov 14, 2019
- 13,284
- 24,047
Wananchi wanafuga Paka!Hongereni timu ya Yanga kwa kupata furaha leo.
Najua amtalala usiku wa leo kwa ushindi wa milioni 15 sawa na ist moja new model,spark plag nne na galoni la lita10 za Oil ya kufanyia service.
Mechi imeisha 0-0,penalty shoot out ni kama kamari tu!Kwenye Simba na Yanga hatuangaliagi hayo bali ushindi.
Hata mngekuwa 7 uwanjani hiyo siyo hoja bwashee Mapaka SC!
Ndio hivyo hivyo bwashee!Mechi imeisha 0-0,penalty shoot out ni kama kamari tu!
Minyau katika ubora waoUnguja tulifuata utaratibu tu ambao ulikua unatulazimu tupeleke kikosi na ndio maana management tuka kaa chini na kuamua tupeleke kikosi B
Tunafunga mziki kulingana na ukubwa wa shughuli, mziki wa kipaimara ni tofauti na mziki tunaofunga kwenye harusi
mlitaka kile kikosi cha 4-1 tukilete hapo unguja kwa thamani gani ya kombe?
Hata kama ni friend game lkn , Simba shoot on target 0 , dk 90 kikoc kipanaaHongereni timu ya Yanga kwa kupata furaha leo.
Najua amtalala usiku wa leo kwa ushindi wa milioni 15 sawa na ist moja new model,spark plag nne na galoni la lita10 za Oil ya kufanyia service.
Uzushi tuMapaka FC!
Simba aijapoteza wala Uto amjapata la maana.akuna lenk yoyote mliyopanda kwenye hii ndondo.Hata kama ni friend game lkn , Simba shoot on target 0 , dk 90 kikoc kipanaa
Atakama lakini no shot on target braza!Huu ni ujumbe mahususi kwa Mashabiki wa soka nchini Tanzania , tunafahamu furaha ya Yanga ( Kipofu kaona mwezi ) , lakini sisi Simba tunalenga michuano ya CAF champions League tu .
Sitaki maswali .
We mkia acha kuteseka15M zawadi ya ubingwa mshahara wa Chama
Mtibwa alichukua ,akacheza play-off ligi kuu.
Maumivu ya kazidi kamuone daktari, Simba imefungwa over.Simba aijapoteza wala Uto amjapata la maana.akuna lenk yoyote mliyopanda kwenye hii ndondo.
pesa ndo izo em -15 mtatumiwa kwenye tigo pesa zitawasaidia sabuni ya kufulia jezi.
Hao wote ni B?Unguja tulifuata utaratibu tu ambao ulikua unatulazimu tupeleke kikosi na ndio maana management tuka kaa chini na kuamua tupeleke kikosi B
Tunafunga mziki kulingana na ukubwa wa shughuli, mziki wa kipaimara ni tofauti na mziki tunaofunga kwenye harusi
mlitaka kile kikosi cha 4-1 tukilete hapo unguja kwa thamani gani ya kombe?
Ghafla umehamisha goli.Huu ni ujumbe mahususi kwa Mashabiki wa soka nchini Tanzania , tunafahamu furaha ya Yanga ( Kipofu kaona mwezi ) , lakini sisi Simba tunalenga michuano ya CAF champions League tu .
Sitaki maswali .
Hapa hoja ni kumfunga Simba. Kwani nyie mlivyokuwa mnashinda mlikuwa mnalipwa shilingi ngapi?Simba aijapoteza wala Uto amjapata la maana.akuna lenk yoyote mliyopanda kwenye hii ndondo.
pesa ndo izo em -15 mtatumiwa kwenye tigo pesa zitawasaidia sabuni ya kufulia jezi.
Wachezaji wanalipwa bila kuangalia ukubwa wa mechiUnguja tulifuata utaratibu tu ambao ulikua unatulazimu tupeleke kikosi na ndio maana management tuka kaa chini na kuamua tupeleke kikosi B
Tunafunga mziki kulingana na ukubwa wa shughuli, mziki wa kipaimara ni tofauti na mziki tunaofunga kwenye harusi
mlitaka kile kikosi cha 4-1 tukilete hapo unguja kwa thamani gani ya kombe?
lenk ni nn mkuu?Simba aijapoteza wala Uto amjapata la maana.akuna lenk yoyote mliyopanda kwenye hii ndondo.
pesa ndo izo em -15 mtatumiwa kwenye tigo pesa zitawasaidia sabuni ya kufulia jezi.