Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
- Thread starter
-
- #41
Matola imefahamika kwamba haviwezi viatu vya kishingoSimba wamefaidika sana na hii michuano.
Kwanza wameweza kuangalia viwango vya wachezaji waliokuwa hawapati nafasi mara kwa mara.
Pili uwezo wa matola kama kocha akiachiwa timu umeonekana.
Tatu imeonekana haja ya kutafuta mkuu mapema
Umetishaaaaaaaah.Unguja tulifuata utaratibu tu ambao ulikua unatulazimu tupeleke kikosi na ndio maana management tuka kaa chini na kuamua tupeleke kikosi B
Tunafunga mziki kulingana na ukubwa wa shughuli, mziki wa kipaimara ni tofauti na mziki tunaofunga kwenye harusi
mlitaka kile kikosi cha 4-1 tukilete hapo unguja kwa thamani gani ya kombe?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] lol15M zawadi ya ubingwa mshahara wa Chama
Mtibwa alichukua ,akacheza play-off ligi kuu.
Lile birika la kuvutia shisha wenyewe wanaona bonge la achievementHongereni Utopolo...angalau mmepata cha kuwapa furaha.
Issue sio 15m au za paka mweusi 18m.kuishinda Simba ndio kitu Bora na na Cha furahaHongereni timu ya Yanga kwa kupata furaha leo.
Najua amtalala usiku wa leo kwa ushindi wa milioni 15 sawa na ist moja new model,spark plag nne na galoni la lita10 za Oil ya kufanyia service.
Fact.Issue sio 15m au za paka mweusi 18m.kuishinda Simba ndio kitu Bora na na Cha furaha
Sent from my Infinix X650B using JamiiForums mobile app