Simba tunahitaji pointi moja(1) tu ili tufuzu robo fainali CAFCC, wewe je?

Simba tunahitaji pointi moja(1) tu ili tufuzu robo fainali CAFCC, wewe je?

gonamwitu

JF-Expert Member
Joined
Feb 16, 2018
Posts
2,187
Reaction score
2,794
Simba tunahitaji point 1 tu dhidi ya bravos ili tufuzu, kivipi yaani? Tukipata sare tunafikisha alama 10 bravos anabakiwa na alama zake 7, bravos kama atamfunga cs sfaxien kwenye mchezo wake wa mwisho huko tunisia atafikisha alama 10 sawa na sisi.

Je sheria za CAF zinasemaje timu zinapolingana alama? Haya wasikie wenyewe wanavyosema; Timu zinapolingana alama CAF wanaangalia head to head, so kwenye head to head bravos tutakuwa tumemzidi;
Fist leg:Simba 1 Bravos 0. So sisi waleee

Kama cs constantine atashinda dhidi ya cs sfaxien atafikisha alama 12 atakuwa kafuzu mechi ya mwisho kwa mkapa itakuwa ni mechi ya kumtafuta nani ataongoza kundi na kuweka heshima mjini ili tusizoeane. Na mwarabu tutambandua mpaka aseme yote na siku hiyo tutachana pakti 4 za koundom.

Wale wengine nzi wa kijani shughuli yao ndio imeishia hapa wavae vijora wakacheze rede.
 
CAF ni klabu Bingwa Ah Alhy wa pili hana uhakika na ndugu yake Mamelodi...
 
Hamuoni aibu kundi bovu namna hiyo kushindwa kuongoza? Mngekuwa kundi la mabingwa Hilal, Alger na Mazembe si mngekuwa hamna point hata moja?

Ndio maana huwa nasema ushindi huko shirikisho ni sare ligi ya mabingwa.

Msilete habari za kuongoza kundi la mabingwa enzi za marehemu Magufuli, hiyo story imeshapita.
 
Hamuoni aibu kundi bovu namna hiyo kushindwa kuongoza? Mngekuwa kundi la mabingwa Hilal, Alger na Mazembe si mngekuwa hamna point hata moja?

Ndio maana huwa nasema ushindi huko shirikisho ni sare ligi ya mabingwa.

Msilete habari za kuongoza kundi la mabingwa enzi za marehemu Magufuli, hiyo story imeshapita.
Hilo ndio kundi la matakataka wengi huko CL
 
Jana mmejipigia timu ya Madrassa toka msikiti wa Kwamtoro pale Tunisia then mnakuja kucheza na timu ya Kigango cha Mtakatifu Constantine pale Algeria na kisha mnamalizia na wale Bodaboda wa Angola 😀😀😀

Mwaka wenu huu Mbumbumbu FC.
 
CAF ni klabu Bingwa Ah Alhy wa pili hana uhakika na ndugu yake Mamelodi...
Al Ahly anafuzu bila shida, labda Mamelod akijichanganya kidogo tu, ataaga mashindano.

Pia CAF siyo klabu bingwa tu, acha kupotosha.

Timu kama Simba, Rs Berkane, Zamalek, Al Masry au Constantine ni bora kuliko Yanga, Tp Mazembe, Djoliba, Stella Abdjan n.k, ambazo ziko kusindikiza huko klabu bingwa
 
Kundi bovu lakini hawana uhakika wa kufuzu hadi wasubiri hesabu za
Simba huko alikuwa anajiendea robo kilaini sana bila kuombea vifo kama mnavyomuombea Mc Algier
 
Na
Jana mmejipigia timu ya Madrassa toka msikiti wa Kwamtoro pale Tunisia then mnakuja kucheza na timu ya Kigango cha Mtakatifu Constantine pale Algeria na kisha mnamalizia na wale Bodaboda wa Angola 😀😀😀

Mwaka wenu huu Mbumbumbu FC.
Na Bado wana wasi wasi
 
Simba huko alikuwa anajiendea robo kilaini sana bila kuombea vifo kama mnavyomuombea Mc Algier
Ndio maana ya kundi la kifo mkuu, ni kuombea ubaya na kupambana kufa au kupona.
 
Simba tunahitaji point 1 tu dhidi ya bravos ili tufuzu, kivipi yaani? Tukipata sare tunafikisha alama 10 bravos anabakiwa na alama zake 7, bravos kama atamfunga cs sfaxien kwenye mchezo wake wa mwisho huko tunisia atafikisha alama 10 sawa na sisi.

Je sheria za CAF zinasemaje timu zinapolingana alama? Haya wasikie wenyewe wanavyosema; Timu zinapolingana alama CAF wanaangalia head to head, so kwenye head to head bravos tutakuwa tumemzidi;
Fist leg:Simba 1 Bravos 0. So sisi waleee

Kama cs constantine atashinda dhidi ya cs sfaxien atafikisha alama 12 atakuwa kafuzu mechi ya mwisho kwa mkapa itakuwa ni mechi ya kumtafuta nani ataongoza kundi na kuweka heshima mjini ili tusizoeane. Na mwarabu tutambandua mpaka aseme yote na siku hiyo tutachana pakti 4 za koundom.

Wale wengine nzi wa kijani shughuli yao ndio imeishia hapa wavae vijora wakacheze rede.
Tutashinda tena mechi hiyo ...
 
Simba tunahitaji point 1 tu dhidi ya bravos ili tufuzu, kivipi yaani? Tukipata sare tunafikisha alama 10 bravos anabakiwa na alama zake 7, bravos kama atamfunga cs sfaxien kwenye mchezo wake wa mwisho huko tunisia atafikisha alama 10 sawa na sisi.

Je sheria za CAF zinasemaje timu zinapolingana alama? Haya wasikie wenyewe wanavyosema; Timu zinapolingana alama CAF wanaangalia head to head, so kwenye head to head bravos tutakuwa tumemzidi;
Fist leg:Simba 1 Bravos 0. So sisi waleee

Kama cs constantine atashinda dhidi ya cs sfaxien atafikisha alama 12 atakuwa kafuzu mechi ya mwisho kwa mkapa itakuwa ni mechi ya kumtafuta nani ataongoza kundi na kuweka heshima mjini ili tusizoeane. Na mwarabu tutambandua mpaka aseme yote na siku hiyo tutachana pakti 4 za koundom.

Wale wengine nzi wa kijani shughuli yao ndio imeishia hapa wavae vijora wakacheze rede.
Sikujua kama Sisi Simba tuko serious na CAFCC kiasi hiki.
 
Back
Top Bottom