Pinda Nhenagula
Member
- Jan 26, 2019
- 87
- 113
Wewee mwana yanga mwana simba tujuike hapa tuyachakate mambo ya mipira Follow this link to join my WhatsApp group: SIMBA VS YANGA
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yes sisi fainali yetu ni dhidi ya bravos kama tunataka kufuzu mapema bila presha wala tukiwaki inabidi tupate alama moja by anymeans.Upo sahihi, Simba inatakiwa kupata point 1 kwa bravo itambeba kwenye head to head kama Bravo akishinda dhidi ya CS Sfaxien. Ila akifungwa dhidi ya Bravo, sare dhidi ya Constantine haitokuwa nzuri kwake labda sare iongozwe na maombi ya Bravo ifungwe dhidi ya CS Sfaxien
Hebu ona aibu, Kundi la Yanga ni kundi gumu!!!??? Al Hilal kila mwaka amajitafuta, amewapiga sababu ya uchovu wenu ila nakuhakilishia kwa Mnyama angekufa. Mazembe ndo kabisa tusimzungumzie, hali tete! Alger ndo pekee ambaye Simba angegawana naye points labda na Mnyama angekuwa kileleni.Hamuoni aibu kundi bovu namna hiyo kushindwa kuongoza? Mngekuwa kundi la mabingwa Hilal, Alger na Mazembe si mngekuwa hamna point hata moja?
Ndio maana huwa nasema ushindi huko shirikisho ni sare ligi ya mabingwa.
Msilete habari za kuongoza kundi la mabingwa enzi za marehemu Magufuli, hiyo story imeshapita.
Tukumbushane pia kufungwa ni sehemu ya mchezo,sio tunaisifia timu ikifanya vizuri,ikija kuharibu tunaanza mara kocha hafai,sijui Nani ndevu zake zinawatisha wachezaji,mara that,mara this.Simba tunahitaji point 1 tu dhidi ya bravos ili tufuzu, kivipi yaani? Tukipata sare tunafikisha alama 10 bravos anabakiwa na alama zake 7, bravos kama atamfunga cs sfaxien kwenye mchezo wake wa mwisho huko tunisia atafikisha alama 10 sawa na sisi.
Je sheria za CAF zinasemaje timu zinapolingana alama? Haya wasikie wenyewe wanavyosema; Timu zinapolingana alama CAF wanaangalia head to head, so kwenye head to head bravos tutakuwa tumemzidi;
Fist leg:Simba 1 Bravos 0. So sisi waleee
Kama cs constantine atashinda dhidi ya cs sfaxien atafikisha alama 12 atakuwa kafuzu mechi ya mwisho kwa mkapa itakuwa ni mechi ya kumtafuta nani ataongoza kundi na kuweka heshima mjini ili tusizoeane. Na mwarabu tutambandua mpaka aseme yote na siku hiyo tutachana pakti 4 za koundom.
Wale wengine nzi wa kijani shughuli yao ndio imeishia hapa wavae vijora wakacheze rede.
Asikudanganye mtu, timu bora zipo klabu bingwa .Al Ahly anafuzu bila shida, labda Mamelod akijichanganya kidogo tu, ataaga mashindano.
Pia CAF siyo klabu bingwa tu, acha kupotosha.
Timu kama Simba, Rs Berkane, Zamalek, Al Masry au Constantine ni bora kuliko Yanga, Tp Mazembe, Djoliba, Stella Abdjan n.k, ambazo ziko kusindikiza huko klabu bingwa
TP Mazembe sasa hivi hamna timu, historia yake nzuri ila currently hawana timu na hali imekuwa mbaya zaidi tangu wawe banned na FIFAHujui mpira mkuu yaani Timu ambazo hazijawahi kufika nusu finally ziwe bora kuliko Timu iliyochukua ubingwa wa Afrika mara tano na kucheza fainal ya Dunia kwa level ya virabu na Inter Milan wakafungwa goli tatu na wakina Samweli Eto'o Fills ni vile haujui kuwa hizo Timu zingine nazo zimekua bora zaidi ndio maana unaona Mazembe anapata tabu kupata matokeo.
Nipo na SIMBA milele hata ifungwe 100 hata tusipofuzu.Tukumbushane pia kufungwa ni sehemu ya mchezo,sio tunaisifia timu ikifanya vizuri,ikija kuharibu tunaanza mara kocha hafai,sijui Nani ndevu zake zinawatisha wachezaji,mara that,mara this.
Sasa sijui timu zinazobeba mataji ya klabu bingwa zitaitwajeSIMBA ndio timu Bara Barani Afrika.
TP waliuza wachezaji 6 kabla ya ban huyo rasta anaekichafua alikuwepo kwenye soko baada ya kufungiwa ikabidi wasitishe pana kipa kutoka Nigeria ila kwa sasa wanamtumia kama mfungaji mechi ya MC Alger alitoka Fofana akaingia huyo striker ila alisajiriwa kama kipa kutokana na kufungiwa wakapandisha wachezaji kutoka Don bosco ambayo ni academy yao..katumbi aliuza wachezaji sita wa first eleven ili anunue wengine akakutana na hiyo ban ndio kwisha ya Mazembe msimu huu..TP Mazembe sasa hivi hamna timu, historia yake nzuri ila currently hawana timu na hali imekuwa mbaya zaidi tangu wawe banned na FIFA
TP Mazembe inaweza isimalize top 4 kama ikija ligi ya bongo kwa form yao ya sasa.
Ikiwa group A ni kundi la kifo je group C,D na E wasemaje sasa.Ndio maana ya kundi la kifo mkuu, ni kuombea ubaya na kupambana kufa au kupona.
ClubTp Mazembe nayo timu?
Bado hamjasema...mkae kwa kutulia,mwiko utazama huo.Hamuoni aibu kundi bovu namna hiyo kushindwa kuongoza? Mngekuwa kundi la mabingwa Hilal, Alger na Mazembe si mngekuwa hamna point hata moja?
Ndio maana huwa nasema ushindi huko shirikisho ni sare ligi ya mabingwa.
Msilete habari za kuongoza kundi la mabingwa enzi za marehemu Magufuli, hiyo story imeshapita.
Kwa hiyo Djoliba ni bora kuliko Simba, Zamalek au Rs Berkane?Asikudanganye mtu, timu bora zipo klabu bingwa .
Alaa kwahiyo story za simba tu ndio zinapita ila zenu huwa hazipiti maana kila kukicha hamuachi kukumbushia, hoja ni kwamba mahali mnapofika ninyi mkiwa na kikosi kizuri simba anaweza kufika akiwa na kikosi kibovu kabisa, msimu uliopita cafcl simba aliishia robo fainali akiwa na kikosi kibovu ambacho karibu mashabiki wote walikikatia tamaa ila ninyi na kikosi chenu bora mliishia robo fainali hiyo hiyoHamuoni aibu kundi bovu namna hiyo kushindwa kuongoza? Mngekuwa kundi la mabingwa Hilal, Alger na Mazembe si mngekuwa hamna point hata moja?
Ndio maana huwa nasema ushindi huko shirikisho ni sare ligi ya mabingwa.
Msilete habari za kuongoza kundi la mabingwa enzi za marehemu Magufuli, hiyo story imeshapita.
Ndio hivyo mkuu, msimu huu ni bora kama zipo klabu bingwa maana ndio kipimo hicho.Kwa hiyo Djoliba ni bora kuliko Simba, Zamalek au Rs Berkane?
CAF in mabingwa takriban 50, siyo hao uliotaja tuMsimu ule yanga mnatolewa halafu mnaenda shirikisho timu gani bingwa alikuwa shirisho kati ya hizi?
Al ahly
Mamelodi
Wydad
Raja
Esperance
Petro de luanda
Zamalek
Una Calculator hapo tupige mahesabu ya Yanga kufuzu?Hamuoni aibu kundi bovu namna hiyo kushindwa kuongoza? Mngekuwa kundi la mabingwa Hilal, Alger na Mazembe si mngekuwa hamna point hata moja?
Ndio maana huwa nasema ushindi huko shirikisho ni sare ligi ya mabingwa.
Msilete habari za kuongoza kundi la mabingwa enzi za marehemu Magufuli, hiyo story imeshapita.
Kulikuwa na mabingwa wa nchi zao kama ifuatavyo:Hao ndio bora kwa sasa afrika.
Hata horseed ni bingwa huko somalia.