Simba tunahitaji uniform kutoka Puma, Adidas, Nike au umbro kwa hatua hii Dewji usituangushe

Simba tunahitaji uniform kutoka Puma, Adidas, Nike au umbro kwa hatua hii Dewji usituangushe

Bro unajua kuwa , hizo kampuni pia zinaweza kutengeneza jezi za qualty ya chini Ili kuendna na soko husika!?

gormahia pale kenya wanavaa umbro Kama sikosei, fc leopard ya kenya wanavaa Puma ama umbro na wao..ni kwamba wakenya na mashabiki zao wananunua jezi kwao dola 100? Ambayo ni sawa na zaidi ya laki Moja!?
FC Uster, inadhaminiwa Adidas, jezi yetu inauzwa 42,000 (Home), 34,000 (Away) na 28,000 (Alternate). 20,000 (100 Polyester).

Kuna klabu Rwanda inadhaminiwa na Puma jezi yake inauzwa 38,000 kwa pesa TZS.

Santo Domingo de los Colorados ya Ecuador inadhaminiwa na Nike, jezi zake range ni 35,000 to 50,000 TZS.

Jezi nyingi za Yanga SC na Simba SC ni 100 Polyester.
 
Kwenye madili kama hayo nadhani inakuwa ngumu, maana Simba kama taasisi zipo kama nne na zina migogoro
Taasisi huwa zinatengwa katika uhusika. Huwezi kuona Mgogoro wa Simba SC (Michezo) na Simba Araf (Mabati/Saruji).

FC Barcelona (Uhispania) / Barcelona SC (Venezuela). Zote ni klabu kubwa katika mataifa yao.

Kuna Camel 🐪 (Mavazi), Camel 🐪 (Ujenzi/Vifaa) na Camel 🐪 (Petroleum/Engineering) zote ni chapa ya dunia.

Kuna klabu nyingine inaitwa Simba SC?
 
Badala ya kuihimiza Simba itengeneze jezi zake hapa nchini ili iongeze kipato na kutoa ajira kwa watanzania wewe unawaza mambo ya aibu!!!
===
TUJITEGEMEE.

Una akili za kisukuma kuna mdau kasema hivo, wewe unawaza commodity industry wakati wenzako duniani wamehamia digital industry, kuna vitu vinaitwa tender, na biashara ni kutegemeana ndio maana halisi ya biashara kwahiyo jezi za watu 25 zifanye simba ifungue kiwanda au?
 
Ni kweli Mkuu, mfano Jezi ya Mamelodi Sundowns inauzwa Takribani Laki 180,000 hadi 200,000/= TZS ni Watanzania wachache watakaoweza kununua hiyo jezi hivyo Mwekekezaji atakosa faida. Hizi za Yanga ni elfu 35,000 hadi 50,000 lakini bado Mashabiki wanalalamika kwamba ni bei ghali!
Sema wewe ndio huna hela.

Siku moja nenda uwanja wa taifa uone kichaa Cha mashabiki kwenye suala la hela
 
Hicho kitu kwa Sasa sioni kikitekelezeka kwa sababu zifuatazo.

1) Wakati wa magori akiwa ceo, hao umbro walikuja na dili la kwamba tuwe tunanunua jezi kwao kwa mkataba wa kwanzA..Kisha Simba waje waziuze wenyewe wakati wao wakimonitor uuzwaji wa jezi na soko, Ili mkataba wa pili waone wanaingia dili la aina Gani Kati ya kuwapa simba pesa Kisha wao wauze jezi ama waendelee na kuwauzia simba..dili hilo likafa kwa sababu Simba haikuwa tayari kutoa pesa ..( kumbuka huu ndio mfumo wa kampuni zote hapo ulizotaja zinapotaka kuingia mkataba na timu ndogo na timu za Kati katika soko la Dunia na kikanda)

2) Sababu ya pili ni kwamba mwenye tenda ya jezi za Simba kwa Sasa pia ni mkurugenzi wa bodi ya klabu, ndugu Kassim Dewji upande wa mwekezaji, so utaona ni kwa namna Gani ni ngumu yeye kuacha dili hilo, kwani kwa jinsi ilivyo yeye ni wakala wa kampuni ya uhlsports kwa Tanzania na pengine hatuwezi jua inawezekana kala dili kwa niaba ya simba Kisha akija huku anasema yeye ni msambazaji na wakala.

3) Kwa kuzingatia hoja ya kwanza, ambapo Simba haipo tayari kutoa pesa kununua jezi za hayo makampuni kwa kipindi hiki na wao wangetaka kulipwa (kwa mujibu wa magori kipindi Simba wanasign mkataba na uhlsports ) Romario LTD (Kassim Dewji) ambao ndio wasambazaji wa Uhlsports wanaipa simba pesa Kama sehemu ya udhamini , kwa mujibu wa watu wa ndani Kassim anawpaa Simba tsh 2500 - 3000 kwa kila jezi inayouzwa.

So kumalizia kwa mujibu wa hoja hizo tatu..haswa ukizingatia hoja ya pili ambapo ndani yake Kuna kaundugu ni kwamba usijeukatarajia Simba Sc itavaa jezi zingine nnje ya hizo ambazo wanavaa hivi Sasa. Ukiona wamebadilisha ujue Romarioa kaachana na Uhlsports kaamia kwa watengenezaji wengine wa jezi
Ila kwenye mauzo ya jezi simba inafeli sana
 
Taasisi huwa zinatengwa katika uhusika. Huwezi kuona Mgogoro wa Simba SC (Michezo) na Simba Araf (Mabati/Saruji).

FC Barcelona (Uhispania) / Barcelona SC (Venezuela). Zote ni klabu kubwa katika mataifa yao.

Kuna Camel [emoji248] (Mavazi), Camel [emoji248] (Ujenzi/Vifaa) na Camel [emoji248] (Petroleum/Engineering) zote ni chapa ya dunia.

Kuna klabu nyingine inaitwa Simba SC?
Mkuu fuatilia kuna mgogoro fulani wa kimaslahi kati ya pande nne, sasa hilo la udhamini toka kampuni nyingine bila shaka litaingilia maslahi...

I think so...
 
Wanaweza kutengeneza tatizo, Watanzania wengi hatuwezi kununua hizo jezi (ni bei ghali) na wao kama wawekezaji watapata hasara badala ya faida jambo ambalo hawapendi na linawakwaza kutowekeza!
Timu nyingi kubwa jezi zao wanatengeneza Bangladesh kutokana na gharama kuwa ndogo gharama nyingine zinachangiwa na kodi
 
Mnataka kurudi shule nyie mbumbu fc? Uniform kashoneni kwa fundi cherehani, Nike hana Muda wa kutengeneza uniform za shule!!
 
Una akili za kisukuma kuna mdau kasema hivo, wewe unawaza commodity industry wakati wenzako duniani wamehamia digital industry, kuna vitu vinaitwa tender, na biashara ni kutegemeana ndio maana halisi ya biashara kwahiyo jezi za watu 25 zifanye simba ifungue kiwanda au?
Rejea post namba 15 ya uzi huu.
 
Mkuu fuatilia kuna mgogoro fulani wa kimaslahi kati ya pande nne, sasa hilo la udhamini toka kampuni nyingine bila shaka litaingilia maslahi...

I think so...
Positively!

Ni mgogoro wa chapa Simba, au mgogoro wa kimaslahi ndani ya Simba SC yenyewe?
 
Hahahaha mikia fc katika kikao wakijadiliana kupata udhamini wa Addidas

2698648_1614004843545.png
 
Taasisi huwa zinatengwa katika uhusika. Huwezi kuona Mgogoro wa Simba SC (Michezo) na Simba Araf (Mabati/Saruji).

FC Barcelona (Uhispania) / Barcelona SC (Venezuela). Zote ni klabu kubwa katika mataifa yao.

Kuna Camel [emoji248] (Mavazi), Camel [emoji248] (Ujenzi/Vifaa) na Camel [emoji248] (Petroleum/Engineering) zote ni chapa ya dunia.

Kuna klabu nyingine inaitwa Simba SC?
Ipo Congo mkuu ma inacheza ligi kuu
 
Ipo Congo mkuu ma inacheza ligi kuu
Nimeona! Simba FC (Football Club) ya Uganda iliyoanzishwa 1968, Simba F.C (Football Club) ya Rwanda na A.S Simba (Association Football) ya Congo DR iliyoanzishwa 2002.

Tukitazama hapa tunaona ambao wanaweza kuwa na utata ni Simba FC Uganda na Simba F.C Rwanda.

Simba SC (Sports Club) Tanzania yenyewe ndio timu ya kwanza katika hizo kuanzishwa na inachapa tofauti. Hamna yeyote anayemuingilia kimaslahi mwenzake isipokuwa Simba FC ya Uganda na Simba F.C ya Rwanda.

Uingereza zipo Manchester United, Manchester City na Manchester AFC.
 
Hicho kitu kwa Sasa sioni kikitekelezeka kwa sababu zifuatazo.

1) Wakati wa magori akiwa ceo, hao umbro walikuja na dili la kwamba tuwe tunanunua jezi kwao kwa mkataba wa kwanzA..Kisha Simba waje waziuze wenyewe wakati wao wakimonitor uuzwaji wa jezi na soko, Ili mkataba wa pili waone wanaingia dili la aina Gani Kati ya kuwapa simba pesa Kisha wao wauze jezi ama waendelee na kuwauzia simba..dili hilo likafa kwa sababu Simba haikuwa tayari kutoa pesa ..( kumbuka huu ndio mfumo wa kampuni zote hapo ulizotaja zinapotaka kuingia mkataba na timu ndogo na timu za Kati katika soko la Dunia na kikanda)

2) Sababu ya pili ni kwamba mwenye tenda ya jezi za Simba kwa Sasa pia ni mkurugenzi wa bodi ya klabu, ndugu Kassim Dewji upande wa mwekezaji, so utaona ni kwa namna Gani ni ngumu yeye kuacha dili hilo, kwani kwa jinsi ilivyo yeye ni wakala wa kampuni ya uhlsports kwa Tanzania na pengine hatuwezi jua inawezekana kala dili kwa niaba ya simba Kisha akija huku anasema yeye ni msambazaji na wakala.

3) Kwa kuzingatia hoja ya kwanza, ambapo Simba haipo tayari kutoa pesa kununua jezi za hayo makampuni kwa kipindi hiki na wao wangetaka kulipwa (kwa mujibu wa magori kipindi Simba wanasign mkataba na uhlsports ) Romario LTD (Kassim Dewji) ambao ndio wasambazaji wa Uhlsports wanaipa simba pesa Kama sehemu ya udhamini , kwa mujibu wa watu wa ndani Kassim anawpaa Simba tsh 2500 - 3000 kwa kila jezi inayouzwa.

So kumalizia kwa mujibu wa hoja hizo tatu..haswa ukizingatia hoja ya pili ambapo ndani yake Kuna kaundugu ni kwamba usijeukatarajia Simba Sc itavaa jezi zingine nnje ya hizo ambazo wanavaa hivi Sasa. Ukiona wamebadilisha ujue Romarioa kaachana na Uhlsports kaamia kwa watengenezaji wengine wa jezi
DUUUUUUUUUUUUUUUUUUUUH
 
FC Uster, inadhaminiwa Adidas, jezi yetu inauzwa 42,000 (Home), 34,000 (Away) na 28,000 (Alternate). 20,000 (100 Polyester).

Kuna klabu Rwanda inadhaminiwa na Puma jezi yake inauzwa 38,000 kwa pesa TZS.

Santo Domingo de los Colorados ya Ecuador inadhaminiwa na Nike, jezi zake range ni 35,000 to 50,000 TZS.

Jezi nyingi za Yanga SC na Simba SC ni 100 Polyester.
Niliwaza hivyo, jezi zitengenezwe kwa mdaraja ili kila mtu anunue kulingana na uwezo wake na anachokipenda, bei ya rejareja iwe kuanzia 20,000-300,000.

Ni vigumu kumpata mtengenezaji wa jezi kwasababu hakuna udhibiti/protection ya brand logo, watu wanajipritia tu jezi kiholela mfano sasa hivi zimejaa jezi mbovu za visit tanzania madukani tena mpaka mikoani

Ili kuhakikisha timu inapata faida kwanza ni lazima tuondoe
jezi zisizotoka kwenye mfumo rasmi wa club (za kichina) na ukikutwa unauza jezi isiyo rasmi ni kesi ya kutumia logo pasipo na ruhusa ya club.

Tuanzishe mfumo na ku identify and certify mawakala wa kuuza products za simba kila wilaya, mkoa nk mfano wa kuigwa ni mwanza ambapo mashabiki wa simba walifungua duka la kuuza bidhaa official za simba pale kirumba stadium. Mfumo huu utawafaidisha club pamoja na mashabiki kiuchumi na hata matawi yashiriki kuuza bidhaa official za simba
 
Simba ina fanbase kubwa sana hapa tz na hivyo iwapo udhibiti wa jezi holela utafanikiwa mazee hii club ina uwezo wakuingiza bil 10+ kila mwaka na kwanza hao adidas, nike, puma watatufuata wenyewe ni basi tu hatujui thamani ya fanbase tuliyonayo.. naomba hii iwe agenda kuu
 
Back
Top Bottom